Recent content by Taradadi

  1. T

    Msaada: Nipo njia panda juu ya mahusiano yangu

    Kwani wewe miaka yote minne huyawai pigwa bomba na mwamba mwingine. Sema ukweli Mungu anakuona. Samehe bwana maisha ndo yako hivyohivyo
  2. T

    Nakiri nimemkosea mwanaume mwenzangu

    Sasa unakiri nini wakati hukumgegeda?
  3. T

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    Moyo wangu umeumia kianzia mwanzo hadi mwisho wa uzi huu, mimi nina mtoto wa kike wa age hiyo though niliachana na mama yake lakini naelewa jinsi gani unaumia. Nilicho jifunza hapa ni jambo moja tu inawezekana uliolewa kama sehemu ya adhabu kwa mzazi mwenzake na hasira zimeisha anagundua kuwa...
  4. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nilikuwa natoka Bariadi kwenda kahama, kufika Shinyanga akapanda dem mmoja hivi akakaa kando yangu. Ndani ya masaa 2 tukashuka Kahama moja kwa moja Guest. Nikamtafuna kisha akspanda gari la kwenda kijijini kwao huko.
Back
Top Bottom