Recent content by Tanzaoregano

  1. T

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Mkuu wa Mkoa Mongela na CCM wanakuhujumu Arusha Mjini

    Rais Samia kuwa makini na utoto wa Mongela na Chongolo Arusha Mjini Wanabodi leo acha niwape habari Arusha namna ambavyo Chongolo na Mongela wanavyoteseka kama nilivyotumiwana anaejiita mtumishi mzalendo wa Jiji la Arusha. Tatizo kubwa la Arusha Mjini ni Dr. John Pima ambaye yuko mahakamani...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Je, kinachoendelea jiji la Arusha ni hujuma kwa serikali ya Mama Samia?

    Wanabodi habari ya muda huu? Nimekua nikifuatilia kwa karibu kinachoendelea katika Jiji la Arusha kwakweli hakina Afya sana kwa siasa za awamu ya sita. Ikimbukwe kihistoria jimbo hili ni la upinzani na CCM imetumia nguvu kubwa sana kulirudisha, lakini kinachoendelea ni kama kuchezea shilingi...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Jiji la Arusha majuto matupu, ufisadi wa madiwani wa CCM unaimaliza halmashauri

    aada ya CCM kupora uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na kuongoza halmashauri, wananchi wa Jiji la Arusha tunasikitika kuona mbunge na madiwani wake wamesahau jukumu la kuwaletea wananchi maendeleo na kujikita katika upigaji wa madili ya kifisadi ili kushibisha matumbo yao bila kujali maumivu ya...
Back
Top Bottom