Recent content by Tanzanite255

  1. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania YAS Postpaid bundle

    hivi Yas hawana huduma ya Pre paid kwenye hz bandle yan nachotaka kusema kama mtu mwez flan hana hela au hajiskii kulipa inawezekan au ni lazma kila mwez ulipie.?
  2. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Airtel hawana Voice of LTE(VoLTE)

    ipo bana una wasingizia bure
  3. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuedit Text au emoji liyoituma WhatsApp Kimakosa au bila Makosa, Ndani ya dakika 15.

    kwangu always ipo haijawah kupotea (IOS)
  4. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuedit Text au emoji liyoituma WhatsApp Kimakosa au bila Makosa, Ndani ya dakika 15.

    nimeshangaa kuona had leo hamna sehem ya ku edit kwenu upande wa (Android) nadhan wanao tumia Iphone ni mwaka sasa au inakarbia mwaka unaweza edit txt sasa sijui kama hiyo haikuwepo kwenye android
  5. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Tigo SME

    kampuni ya Tigo siku ya jana imeanzisha huduma ya SME huduma hii haina tofauti ya na ile ya Airtel changamkien fursa huko kitaan kwenu mm sina access ila kitaan kwa mawakala imeanza + na Tigo shop bora SME kulko post paid inayo limbukiza maden Tigo wameandika kupata huduma 10k
  6. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Msaada unahitajika: Jina la website ya movies na series inayotumia Mb chache.

    ukiona una download mda mrefu especially kwenye torrent hiyo movie ni ya mda sana kutokana na hvo seeders wanakua wachache nichek nikutumie file telegram
  7. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Msaada unahitajika: Jina la website ya movies na series inayotumia Mb chache.

    sawa nichek inbox 📥 usiogope hakuna malipo free
  8. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    baba ni kwel au ndo yule mshenzi aliniuzia lain ikiwa imesha pewa access 🤣 nimepigwa ya 70k
  9. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    kifuruh cha unlimited hakipo tena jiunge vifurush vingne achana na hiko cha 50k sio wewe ni kwa wote ilitukuta
  10. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    ASANTEN WANA JF NIMESHA IPATA HATA IKIFUNGWA SIJALI NTAKUA NIMETUMIA TUMIA HATA MWEZ NIMESHA LIPIA KABISA INASOMA VZR KABISA
  11. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    nimesha pata lain ya 70k
  12. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    pamoja kiongoz
  13. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    kumbe nyie mlichukua na mkalipa 110k mm nilidhan kilikuwepo kikapotea maana jamaa aliandika hv na quote (Kulikua na watu wanalalamika baada ya muda kifurushi cha 70K kinaondoka kwa Airtel,)
  14. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    evidence ya hiyo post . .?
  15. Tanzanite255

    JamiiForums Tanzania Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    Staki za vodacom hzo ni post paid kama lain za Tigo yan usipo lipa deni unalikuta pale pale na usipo lipa lina ongezeka sheria kibao + eneo nalokaa Airtel inafanya kaz vzr Tigo lain zake za router zinasoma kwenye simu vzr kabisa tatzo bei ya router ndo tatzo na wana limit ya GB kwa siku
Back
Top Bottom