Recent content by TANZANIAN NINJA

  1. T

    JamiiForums Tanzania Ukiona umefikia stage hii umekwisha

    kuna wale walioanza kunywa pombe baada ya kufika miaka 30
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

    Mungu na siasa wapi na wapi? hata hivyo precess ya kumtuma yesu kama mtoto kuzaliwa, kukua, kufa na kufufuka ni ndefu sana. mbona kwa uwezo wa mungu kurudisha mamlaka lilikuwa ni suala la sekunde tu.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Anaomba Ushauri: Alisalitiwa na mume wake wakaachana, Mume akaoa na akapata Pesa. Maisha yamekuwa magumu anataka kuwa Mchepuko

    angekuwa hajajipata ungetamani kurudi? kama jibu siyo, endelea kupambania mechi zako utashinda na furaha utaipata?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Anaomba Ushauri: Alisalitiwa na mume wake wakaachana, Mume akaoa na akapata Pesa. Maisha yamekuwa magumu anataka kuwa Mchepuko

    mwanaume anapotengena na mwanamke wake, m wanaume onaondoka man alone sasa nyie wenzetu mnaachwa na mzigo wa watoto(mara nyingi hiko hivyo) sasa auoni kunatofauti hapo
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

    baada ya kuja yesu watu tumebadilika?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

    kivipi? eleza maana ya muujiza
  7. T

    JamiiForums Tanzania Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

    mdada wa kazi ni muhimu sema ni vile tu kumpata mstaarabu, mimi sitoisha na house girl kama housegirl ila nitamfanya mwanangu.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kama kipato chako ni chini ya MILIONI MBILI kwa mwezi basi hupaswi Kuoa Mwanamke Mama wa nyumbani

    tatizo mwanamke mwenyekazi na mzuri ni ngumu kuolewa na mwanaume wa kipato kidogo.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ya kuzuia Nyoka wasiingie nyumbani au wasisogee karibu na nyumba? Kuna dawa yoyote ya kufukuza?

    wafuga kuku, paka na bata majanga ya nyoka ni mara moja moja sana hasa wakati wa usiku tena nje.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ya kuzuia Nyoka wasiingie nyumbani au wasisogee karibu na nyumba? Kuna dawa yoyote ya kufukuza?

    baadhi ya mbinu za kuzuia nyoka kuingia ndani ya nyumba yako na maeneo yanayozunguka nyumba yako: Funga Mapengo: Funga mianya, nyufa, na mashimo kwenye msingi wa nyumba yako, kuta, milango, na madirisha. Ondoa Vyanzo vya Chakula: Hakikisha nyumba yako haina panya, wadudu, na wanyama wadogo...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ya kuzuia Nyoka wasiingie nyumbani au wasisogee karibu na nyumba? Kuna dawa yoyote ya kufukuza?

    Mimea Ambayo Hupunguza Nyoka Kuna mimea kadhaa ambayo inaaminika kufukuza nyoka kutokana na harufu yao, muundo, au sifa nyingine. Ingawa hakuna mmea unaoweza kuhakikisha mazingira yasiyo na nyoka kabisa, kupanda mimea hii karibu na nyumba yako kunaweza kusaidia kupunguza uwezekano wa nyoka...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Nahisi mume wangu anatoka na house girl wetu…

    mwanamke kazi unayo kwahizo imagination zako! kwenye ndoa haufiki mbali usipokuwa makini, fanya majukumu yako mfunanie mtu kwa bahati mbaya usifukuzie kufania.
Back
Top Bottom