Recent content by Tanzania wani

  1. Tanzania wani

    Elimu yetu ni pagara lililotelekezwa

    Elimu ya msingi ni darasa la kwanza mpaka darasa la nne basi kuanzia hapo ni mtoto akue tu!!maana wanaowafundisha wanahitaji kufundishwa je wanaofundishwa na wanaohitaji kufundishwa wataelewa? Mpe hili swali mtoto wa la saba atunge sentensi kwa kutumia neno "unless"" 100% atafeli wakati huo...
  2. Tanzania wani

    SoC02 Nakushangaa unaiomba Serikali wakati ni kazi yao

    Serikali wajibu wake ni kujenga na kuboresha barabara zote nchini na hili jambo si la siasa ni la kiuwajibikaji!! Eneo hili sijapenda! Awamu ya 5 inaalama 86% awamu zengine 13.2% Serikali wajibu wake ni kuhakikisha maji safi na salama popote nchi penye kijiji mpk jijini pana 99%ya maji safi na...
  3. Tanzania wani

    SoC02 Kuupenda URAIS na kuutaka URAIS

    Kuupenda Urais ni tofauti na kuutaka Urais Kuupenda Urais ni hali ya kiongozi kutaka kuheshimiwa,kuwa kwenye misafara, kusifiwa,ving'ora,umaarufu, na mambo kama hayo Kuutaka urais ni hali ya kiongozi kutaka kusukuma jambo au mambo furani katika nchi ili malengo yatimie yaani ni mfanikishani...
  4. Tanzania wani

    Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

    Zanzibar imedumaa sana kwa elimu dunia wao wazazi wanagharamia sana elimu ahera na wamesahau kuwa wanapaswa kuwa na elimu zote mbili ili kumudu mahitaji yote duniani na ahera Wakriato wengi wanawekeza kwenye elimu japo elimu yenyewe ni outdated lakini wanawekeza watoto wao ndio maana matatizo...
  5. Tanzania wani

    SoC02 Ukiwekeza kwenye maeneo haya 9 lazima utatoboa

    GAMES AND SPORT eneo hili ni pana sana na lina mambo mengi sana ndani yake na kundi kubwa 98%ya wakazi wa dunia lazima wawe kwenye eneo hili kila siku mchana na usiku ukiwekeza hapo uaona mafanikio lina mabilionea wengi sana duniani hapa SCIENCE Eneo hili si la kila mtu anaweza kuwekeza bali...
  6. Tanzania wani

    SoC02 Rais azalishe wapata faida (wenye mitaji) kuliko wapata mishahara! Utajipatia mabilionea wa nchi yako

    Nchi tuliikuta na ipo na itaendelea kuwepo! Ila wananchi tunabadilishana kupitia kizazi na kizazi!na uongozi unabadilika pia dunia inaenda na wakati. Dhana mbaya ya marais ni kutaka kufanya mambo yoooote ayafaye yeye na amalize yeye ili ajaye akose cha kufanya jibu ni no! No! No! Rais...
Back
Top Bottom