Angeeleweka vizuri kama angekuwa more specific pesa inapotelea wapi mpaka wapate 2m tu... otherwise hatuwez mwelewa antaka tutoke na nini kwenye uzi wake.... ni kama uandike uzi kuhusu shule ya azania kukusanya pesa kidogo wakati tunajua shule haifanyi biashara sawa na mwananyamala hospital...
Ccm wata angamiza hili taifa, wanatafuta support kwa ajili ya chaguzi zijazo toka kwa waislam, ndo karata yao ya mwisho waliyo bakiza... wameona anguko lao li karibu sana hivo watugawe kwa misingi ya dini....
Polis Tz wanafanya chochote na hawez hata kuulizwa kwa nini walifanya hivo. ... ni bora polis wa ukoloni kuliko hawa wetu.... Yana mwisho kwani Mungu wetu hatarusu haya yatendeke daima.... jamaa kavunjwa mguu wakati hana siraha..... inauma sana.....
Tehe tehe tehe.... walio beba lumbesa pale stanbic wako wapi? Ina maana kama Ruge nae angezigawa cash leo tusingekuwa na kesi yeyote na Pccb wangekuwa wamelala. ... only in Tz..
Naona ujanja ujanja wa serikalini ukiendelezwa kwenye chama.... hamna jipya.... ccm badilikeni, Raisi asiwe mwenyekiti wa chama.... mnaua chama chenu .... uozo wa serikalini unahamia kwenye chama.... shauri yenu ni ushauri tu.....
Wasira hata jimboni kwake hakubaliki, haki bin haki Bulaya anachukua jimbo... sababu kubwa ni ubinafsi, majivuno na chuki... kumbuka alivo wakana kina wasira watoto wa ndugu yake kuwa si wake kwa maneno makali kabisa wakati yeye kuna kipindi aliisha kiwa nccr.... of all of the people, wasira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.