Barbarosa,pamoja na mazuri Hitler akifanya kama vile Iddi Amin wa Uganda, mabaya hayasauliki. Mpaka Leo,huko ujerumani, na Uganda,bado kuna watu wanawaunga mkono kama wewe.
Tatizo la vyama Africa, WANApokua wameshindwa katika UCHAGUZI fitina vya kitoto huibuka.watu wanasahau wanatakiwa kujenga CHAMA na kurekebisha mapungufu. Wanangukia mtego ya CHAMA tawala na wananza kusaliti.
Yaani wewe huna wema ndani yako WALA huna wazo lakujenga UKAWA.
Kwa sasa UKAWA una mambo muhimu ya kutekeleza na sio nani atakua rai miaka hio,tuombe uzima.Toa hoja,JINSI ya kukijenga UKAWA na sio mambo ya vyeo.mpaka UKAWA ufike hapo imekigarimu watu sana.
Nategemea uanze mjadala JINSI YA...
Nahisi wewe ni mbaguzi wa hali ya JUU sana.si Ajabu kama ikitokea una wafanya kazi au watu walioko chini yako unawanyanyasa sana.maneno yako yameandikwa kwa kukurupuka PASIPO kufikiri. Unandika usichojua. Uliza na upate taarifa sahihi ndo uje uandike tena kuhusu hawa waheshimiwa.
Mbona mnajitesa bure? Nabii wa Mungu amekuja nchini, tumemwona akikutana na viongozi wa NCHI wakiwa katika hali nzuri. Nabii huyu kwa wanaomjua,hapendi sifa au kusifiwa. Magufuli na LOWASA WOTE wanafahamu. Haikua lazima atambulishwe katika umati au kamera kummulika.kwa wanaompenda Nabii TB...
Watu wengi hawaelewi yaliotokea. UKAWA, wanatakiwa watumie vyombo vya habari KUELIMISHA wapiga kura kwa KUTUMIA data,matokeo waliokusanya,wayachapishe ili watu wayaone waelewe. Hii itatusaidie katika chaguzi zijazo. Mhe. Rais wa TANZANIA amepatikana,nafahamu kua yeye anaweza kuwa hafahamu...
Wakati m/kitu wa ZEC anafuta matokeo ya UCHAGUZI Zanzibar,anamnyima mzanzibari haki yake ya kumchagua Rais wa JMT. Je,mpiga KURA anaweza kupata haki mahakamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.