Recent content by Tanjipal

  1. T

    Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Tuliomshabikia na kumtetea sasa tunaweza kumkosoa, kuna mahali anatuangusha

    Nakubaliana na wewe, jamaa kachambua vizuri sana lakini kuna watu watamshambulia humu.
  2. T

    Kwanini nguvu kubwa inayotumika kumtafuta "Mo" isitumike kuwatafuta Ben, Azory na waliotaka kumuua Lissu?

    Hawa watekaji ni bure kabisa, Mimi ningewapa zawadi kama wangeteka jiwe moja tu.
  3. T

    Lissu: Sijawahi kusikia mtu anayeitwa Hosea Mirambo jimboni kwangu na sidhani kama yupo

    Bado hatujapata flyover, hilo ni dalaja lakini tutafika tu, kuku hatagi mayai 30 kwa siku.
  4. T

    Vifaa na Ukakamavu wa vyombo vyetu vya Usalama, umedhihirika kwenye ajali ya MV. Nyerere

    Ni kweli hakujui Ukara huyu jamaa, lakini unaweza ukawa unakujua ila usiweze kujua kinachoendelea huko, Mimi sijaona kosa la huyu mwandishi, tena nampongeza kwa kutambua kazi njema, iliyofanywa kwa ufanisi na weledi iliyopelekea kuokolewa kwa watu 41, japo kazi iliyofanywa na wananchi ni kubwa...
  5. T

    Vifaa na Ukakamavu wa vyombo vyetu vya Usalama, umedhihirika kwenye ajali ya MV. Nyerere

    Bora wakae kimya mpaka wamalize kuliko kuwa mbele ya kamela.
  6. T

    Vifaa na Ukakamavu wa vyombo vyetu vya Usalama, umedhihirika kwenye ajali ya MV. Nyerere

    Upo vizuri aisee, tuache masihara na roho za watu jamani, ila mkuu wa mkoa Mwanza umelewa madaraka.
  7. T

    Rais Magufuli apata kifungua kinywa na Trafic wa Dar es Salaam leo baada ya kutoka kanisani

    Hata mimi nampongeza Mh Rais kwa kuitambua hii mamlaka mpya ya mapato Tz, nafikiri atakuwa amezungumza nao juu ya uwezekano wa kuweka vikosi vingine kwenye maji, hii ni pamoja na kamera(touch) na wanaojaza abilia kupita idadi inayotakiwa. Pole watanzania kwa msiba na mengi yatupatayo.
  8. T

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Yaani wewe jamaa sijui ukoje, maana hata yule mdudu mweusi anayenenepa kwa kula mavi ana nafuu.
  9. T

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Bora wangeonesha ukakamavu kama ule walionesha wakati wa kuzuia ukuta, walituonesha uwezo mkubwa walionao ktk kulinda usalama na maisha ya watanzania, kumbe kuokoa maisha yetu wakati wa majanga hawawezi. Ombi kwao, wajenge haraka daraja la wami wasije kusingizia giza siku maafa yakitufika.
  10. T

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Tena ni aibu kubwa, yaani unasitisha shughuli za uokozi kwa sababu ya giza!! Hebu tukumbuke changamoto walizokutana nazo askali wetu wakati wa vita na Idd Amin, kama viongozi wetu wangekuwa na akili ndogo kama ya hiyo ya kusingizia giza Idd angeingia hadi vyumbani mwetu, ndugu zangu, Tanzania ni...
  11. T

    Ndege mpya zinazobeba watanzania wachache na matajiri tu wakati tuna meli mbovu za enzi za mkoloni zinazobeba watanzania wengi na wa kipato cha chini

    JF ni kila kitu kwakweli, huyu Mbunge aliona mbali sana itabidi arudi kuomba rambirambi Bungeni
  12. T

    Nimelikumbuka deni la HESLB, kama limenipandisha homa hivi

    Hapana ndugu yangu, amewaza vena kurudisha kile alichokopa ili na wengine wakope, Mimi binafsi naona si sawa kuweka riba kwa wanufaika wa mikopo.
Back
Top Bottom