Wadau kwa anaejua malipo ya magari yenye usajili wa Zanzibar yanayo tumika huku Tanzania bara.
Ningependa kujua kama malipo yanafanywa kwa kipindi maalum ambacho unaomba kutumia ama kwa mwaka mzima?
Malipo yanategemea cc za gari ama kuna category maalum za kuzingatia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.