Habari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, ombi lako bado lipo idara husika linafanyiwa kazi na wataalamu wetu Tafadhali tunaomba uvumilivu wako kwa sasa wakati tunazidi fatilia na kusisitizia ili upate huduma kwa haraka.^AM
Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, tafadhali pokea ufafanuzi wa TANESCO Kuhusu Changamoto ya Kukatika kwa Umeme Mkoa wa Katavi.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kufafanua hoja iliyotolewa na mwananchi kutoka Mpanda, Mkoa wa Katavi, kuhusu...
Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tufahamishe kama bado unakosa umeme kwa msaada zaidi.^SM
Salama BONTABOY, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa usumbufu, tafadhali tufahamishe namba ya ombi au namba ya simu uliotumia kwenye ombi lako kwa msaada zaidi. ^GK
Habari Tanganian, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, tunapenda kukufahamisha kuwa gharama za kuunganishwa na huduma ya umeme kama eneo lako halihitaji nguzo kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 320,960/= na kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye...
Habari Vien, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na poleni sana kwa changamoto hiyo, kwasasa wataalamu wetu wametufahamisha kuwa huduma imerejea, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa ufuatiliaji zaidi. ^GK
Habari MeVSMe, Asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tulipokea taarifa ya hitilafu katika line kuu inayohudumia maeneo ya Buza kutoka kwa wataalamu wetu, tafadhali tufahamishe kama bado mnapitia changamoto hiyo kwa msaada zaidi. ^GK
Habari Allen Kilewella ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, hatujapokea taarifa ya katizo la huduma ya umeme maeneo hayo, tafadhali tufahamishe namba ya simu kwa msaada zaidi.^AM
Habari Tate Mkuu, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole sana kwa changamoto hiyo, jinsi ya kuondoa ujumbe wa error 77 kwenye mita yako tafadhali nunua betri mpya kisha weka kwenye rimoti ya kujaza token na chomeka kwenye soketi ndani kwako hata kama unit zimeisha kisha bonyeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.