Recent content by TANESCO

  1. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Kidugalo, Chanika tunateseka na Umeme, kila saa 12 jioni unapungua nguvu

    Habari, Ndugu Mteja na Wakazi wa Kidugalo. Tafadhali pokeeni taarifa kuwa leo, Ijumaa, tarehe 14 Agosti, wataalamu wetu wamefanya maboresho kwa kubadilisha transfoma kama sehemu ya hatua za kutatua changamoto ya umeme iliyokuwa ikijitokeza katika eneo hilo. Baada ya ufuatiliaji, ilibainika...
  2. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Kidugalo, Chanika tunateseka na Umeme, kila saa 12 jioni unapungua nguvu

    Habari, Ndugu Mteja. Tunashukuru kwa uvumilivu wako. Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado ipo katika mchakato wa utatuzi. Aidha, changamoto hii imeonekana katika baadhi ya maeneo ya Kidugalo. Ili kuhakikisha kuwa hatua za utatuzi zinawafikia wateja wote katika maeneo...
  3. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Malabi - Tabora tunateseka na umeme, unakatika Siku 5 kati ya 7 za wiki

    Habari, Ndugu Mteja. Tunashukuru kwa uvumilivu wako. Tumefanya ufuatiliaji kuhusu suala lako na kubaini kuwa kwa sasa mita ya Malabi ilishafanyiwa kazi, na hakuna changamoto iliyoripotiwa kwa wakati huu. Hata hivyo, ikiwa bado unaendelea kukutana na changamoto yoyote, tafadhali tujulishe ili...
  4. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Habari, ndugu mdau. Kama tulivyoainisha, suala hili lipo kisheria na kupitia mfuko wanaweza kupata muongozo mzuri kama watapata changamoto na mwajiri. Ndo maana tumetoa ushauri huu kwa msaada zaidi. Asante. ^FL
  5. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Habari, Ndugu Mdau. Ndiyo, tumetajwa katika suala hili, ndiyo maana tumeona ni vyema kutoa msaada wa ushauri kuhusu changamoto ilioainishwa. Asante. ^PK
  6. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mkuranga, Pwani tuna tatizo la umeme unakatika mara kwa mara, ahadi ya TANESCO kushughulikia haijatimia

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala hili. Akaunti yetu ilikuwa inakabiliwa na changamoto, ambayo kwa sasa imetatuliwa na huduma imerejea katika hali ya kawaida. Kwa kuwa muda umepita tangu ulipowasilisha taarifa yako, tunaomba tufanye...
  7. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni kuna kero ya umeme kukatika mara kwa mara, tunaunguza vitu kila mara

    Ndiyo, Ndugu Mteja. Tunapokea na kujibu changamoto na maulizo ya wateja kupitia ukurasa huu. Hata hivyo, akaunti yetu ilikuwa inakabiliwa na changamoto kwa kipindi fulani, hivyo kusababisha kuchelewa kwetu kutoa mrejesho. Kwa sasa, tumeshaanza kufanya ufuatiliaji kuhusu changamoto yako ili...
  8. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni kuna kero ya umeme kukatika mara kwa mara, tunaunguza vitu kila mara

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala hili. Akaunti yetu ilikuwa inakabiliwa na changamoto, ambayo kwa sasa imetatuliwa na huduma imerejea katika hali ya kawaida. Kwa kuwa muda umepita tangu ulipowasilisha taarifa yako, tunaomba tufanye...
  9. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Habari, ndugu mteja. Pole kwa hii changamoto. Kwa upande wetu, tunakushauri uwasiliana na Erolink au mfuko uliyokuwa unakuhudumia kwa msaada zaidi. Kwani mfuko una nguvu kisheria kumuelekeza mwajiri yeyote kupeleka michango ya wanachama. Asante. ^HN
  10. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Nala - Dodoma tuna umeme mdogo, unakatika kila usiku, kwani Mradi wa JNHPP si umekamilika?

    Habari, Ndugu Mteja, na tunakushukuru kwa uvumilivu wako. Tafadhali fahamu kuwa ofisi yetu ya Dodoma tayari imepokea taarifa kuhusu changamoto hii na inaendelea kuifanyia kazi kwa lengo la kuhakikisha suluhisho ni lakudumu. Tunaomba uendelee kuwa na subira na uvumilivu wakati hatua...
  11. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Kiukweli Umeme TANESCO Masasi-mkoani Mtwara Bado ni Kizungumkuti, wanakata sana umeme

    Habari, ndugu mteja. Tunaomba radhi kwa usumbufu mkubwa unaosababishwa na kukosekana kwa huduma ya umeme katika Wilaya ya Masasi. Tumepokea malalamiko yako na tunaelewa athari zake katika shughuli za uzalishaji, kazi za ofisi na maisha ya kila siku, ikiwemo changamoto zinazowakabili wafanyakazi...
  12. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje wanaweka nyanya Dodoma to Chalinze halafu umeme ukatike Nyanda za Juu Kusini?

    Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, Tunaomba radhi kwa usumbufu unaosababishwa na kukatika kwa huduma ya umeme wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo. Tunafahamu kuwa zoezi hilo limechukua muda na linaweza kuathiri shughuli za kila siku. Tafadhali, fahamu kuwa kazi...
  13. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Kidugalo, Chanika tunateseka na Umeme, kila saa 12 jioni unapungua nguvu

    Habari, Ndugu Mteja, na asante kwa kuwasiliana nasi. Tunaomba radhi sana kwa changamoto hii. Tumepokea taarifa yako kwa ajili ya kuifanyia ufuatiliaji na tutarejea kwako kwa muongozo na mrejesho zaidi katika siku za karibuni. Asante kwa uvumilivu na ushirikiano wako. ^FL
  14. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje wanaweka nyanya Dodoma to Chalinze halafu umeme ukatike Nyanda za Juu Kusini?

    Habari, ndugu mteja. Asante kwa kuwasiliana nasi, na pia tunaomba radhi kwa kuchelewa kukurudia juu ya ujumbe wako. Tafadhali fahamu kua mfumo wa usafirishaji wa umeme umeunganishwa, hivyo hitilafu au kazi kwenye njia moja inaweza kuathiri njia nyingine zilizounganishwa kwenye mfumo huo. Kwa...
  15. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Nala - Dodoma tuna umeme mdogo, unakatika kila usiku, kwani Mradi wa JNHPP si umekamilika?

    Habari, ndugu mteja. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukujibu kuhusu changamoto yako. Akaunti yetu ilikumbwa na changamoto kwa muda, lakini kwa sasa hali imerejea katika kawaida. Pole sana kwa changamoto uliowasilisha. Licha ya muda kuwa umepita tangu ulipowasilisha taarifa hii...
Back
Top Bottom