Recent content by TANESCO

  1. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Umeme ni kitanzi kwa wachimbaji Songwe

    Habari, Wateja Wetu. Pole kwa changamoto hiyo. Serikali kupitia TANESCO imeshaliona hili na tayari imeshachukua hatua ya kutekeleza ujenzi wa laini kubwa ya msongo wa kilovolti 220 kutoka Iganjo Mbeya hadi Saza Wilayani Mkwajuni yenye urefu wa Kilomita 122 yenye thamani ya Tsh.109 Bilioni na...
  2. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Umeme unakatika sana hadi inakera maeneo ya Matika, Wilaya ya Ludewa (Njombe)

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala lako. Kwa kipindi hicho, akaunti yetu ilikuwa inakabiliwa na changamoto kwa muda, hali iliyosababisha kuchelewa kwetu kufuatilia na kujibu baadhi ya taarifa za wateja. Hata hivyo, kwa sasa akaunti yetu...
  3. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Chunya (Mamlaka ya Mji mdogo Makongolosi) umeme unakatika sana, unatuharibia shughuli zetu

    Habari, Ndugu Mteja. Asante kwa kuwasiliana nasi na pole sana kwa hii changamoto. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kwa wakati. Tumepokea taarifa yako na tayari tumeifanyia ufuatiliaji kupitia ofisi husika. Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado...
  4. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Chunya kuna tatizo la umeme kukatika kwa zaidi ya mwaka sasa, tukiuliza tunapewa majibu mepesi

    Habari, Ndugu Mteja, na asante kwa kuwasiliana nasi. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kwa wakati. Tumepokea taarifa yako na tayari tumeifanyia ufuatiliaji kupitia ofisi husika. Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado inaendelea kufanyiwa kazi na...
  5. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa TANESCO, ondoka ofisini! Tembelea Wilaya ya Chunya ,Jumatatu Tar 7 September 2026 Kuna tatizo kubwa la umeme

    Habari, Ndugu Mteja. Makundi yetu ya WhatsApp yatakuwezesha kupata taarifa muhimu kuhusu huduma zetu kwa wakati, pamoja na kutoa taarifa kuhusu changamoto zozote unazokutana nazo katika huduma zetu. Endapo utapata changamoto kutoa taarifa kupitia ukurasa huu, unaweza kuwasiliana nasi kupitia...
  6. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Maeneo ya Wilaya ya Chunya — Matundasi, Makongorosi, Lupa, Saza na Itumbi . Kwa zaidi ya miezi mitatu, hakuna umeme wa uhakika

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala hili. Kwa kipindi akaunti yetu ilikumbwa na changamoto iliyosababisha kuchelewa kwetu kufuatilia na kujibu baadhi ya taarifa za wateja. Hata hivyo, kwa sasa akaunti yetu iko sawa, na tunaendelea kwa bidii...
  7. TANESCO

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Umeme ni kitanzi kwa wachimbaji Songwe

    Habari, Wateja Wetu. Tunawaomba radhi kwa usumbufu unaosababishwa na changamoto hii. Tafadhali fahamu kuwa bado tunaendelea kufanya ufuatiliaji na ofisi husika ili kupata taarifa sahihi kuhusu suala hili. Tutawapatia mrejesho pindi tutakapokamilisha ufuatiliaji, pamoja na taarifa kuhusu hatua...
  8. TANESCO

    JamiiForums Tanzania HOJA TANESCO, badala ya posti za Wizi na Pongezi tu, Tumieni kurasa zenu kuelimisha Umma kuhusu majanga ya Shoti za Umeme

    Habari, Ndugu Mdau, na asante sana kwa kuwasiliana nasi. Tunashukuru kwa dhati kwa ujumbe wako, pamoja na maoni na ushauri wako kuhusu huduma zetu. Tafadhali fahamu kuwa tumekuwa tukifanya hivyo,lakini maoni yako kwetu ni muhimu ilikufanya vizuri zaidi. Tumepokea maoni yako na tutayafanyia...
  9. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Habari, Ndugu Mteja, na pole sana kwa changamoto hii. Tafadhali tutumie taarifa kamili za eneo lako, ikiwemo Mkoa, Wilaya na Mtaa/Kata, pamoja na mawasiliano yako. Taarifa hizi zitawawezesha wataalamu wetu kufuatilia changamoto hiyo na kufika katika eneo lako kwa ajili ya kufanya uchunguzi na...
  10. TANESCO

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tatizo la umeme wilaya ya Chunya

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunakuomba radhi kwa changamoto hii na tunakushukuru kwa kutuvumilia ili tuweze kufuatilia na kuchukua hatua stahiki. Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado inaendelea kufanyiwa kazi. Pia, tunaambatanisha barua kutoka ofisi yetu ya Chunya...
  11. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa TANESCO, ondoka ofisini! Tembelea Wilaya ya Chunya ,Jumatatu Tar 7 September 2026 Kuna tatizo kubwa la umeme

    Habari, Ndugu Mteja. Kwanza, tunakuomba radhi kwa changamoto hii na tunakushukuru kwa kutufahamisha ili tuweze kufuatilia na kuchukua hatua stahiki. Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na inaendelea kufanyiwa kazi. Pia, tunaambatanisha barua kutoka ofisi yetu ya Chunya inayoeleza...
  12. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Habari babukijana, asante kwa kuwasiliana nasi. Tafadhali fahamu kuwa lengo la kuomba taarifa kamili si kwa ajili ya kuwawezesha wataalamu wetu kutambua eneo lenye changamoto pekee, bali pia kurahisisha mawasiliano na ufuatiliaji wa suala hilo. Hii ni sehemu ya ushirikiano kati yetu na wateja...
  13. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Habari AI BRAINFULL , asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo. Tafadhali tufahamishe Kata, Mtaa/Kijiji na namba yako ya simu kupitia ujumbe binafsi (inbox) kwa msaada zaidi.^FL
  14. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Habari, Ndugu Mteja, na asante kwa taarifa zako. Tafadhali fahamu kuwa lengo la kuomba taarifa kamili si kwa ajili ya kuwawezesha wataalamu wetu kutambua eneo lenye changamoto pekee, bali pia kurahisisha mawasiliano na ufuatiliaji wa suala hilo. Hii ni sehemu ya ushirikiano kati yetu na wateja...
  15. TANESCO

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Habari General Nguli asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi, Wilaya Kata Mtaa Namba ya simu Kitu maarufu karibu na wewe Namba ya nyumba.^FL
Back
Top Bottom