Recent content by TANESCO

  1. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, ombi lako bado lipo idara husika linafanyiwa kazi na wataalamu wetu Tafadhali tunaomba uvumilivu wako kwa sasa wakati tunazidi fatilia na kusisitizia ili upate huduma kwa haraka.^AM
  2. TANESCO

    KERO TANESCO Katavi (hasa Mpanda) wanakata umeme bila taarifa, ni kawaida kukatika asubuhi kisha unarudi jioni

    Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, tafadhali pokea ufafanuzi wa TANESCO Kuhusu Changamoto ya Kukatika kwa Umeme Mkoa wa Katavi. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kufafanua hoja iliyotolewa na mwananchi kutoka Mpanda, Mkoa wa Katavi, kuhusu...
  3. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu mteja, asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tufahamishe kama bado unakosa umeme kwa msaada zaidi.^SM
  4. TANESCO

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Salama BONTABOY, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa usumbufu, tafadhali tufahamishe namba ya ombi au namba ya simu uliotumia kwenye ombi lako kwa msaada zaidi. ^GK
  5. TANESCO

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Habari Tanganian, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, tunapenda kukufahamisha kuwa gharama za kuunganishwa na huduma ya umeme kama eneo lako halihitaji nguzo kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 320,960/= na kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye...
  6. TANESCO

    KERO Buza Tangu usiku Saa Kumi umeme unakata, sekunde unarejea sekunde unakata.

    Habari Vien, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na poleni sana kwa changamoto hiyo, kwasasa wataalamu wetu wametufahamisha kuwa huduma imerejea, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa ufuatiliaji zaidi. ^GK
  7. TANESCO

    KERO Buza Tangu usiku Saa Kumi umeme unakata, sekunde unarejea sekunde unakata.

    Habari MeVSMe, Asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tulipokea taarifa ya hitilafu katika line kuu inayohudumia maeneo ya Buza kutoka kwa wataalamu wetu, tafadhali tufahamishe kama bado mnapitia changamoto hiyo kwa msaada zaidi. ^GK
  8. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari Allen Kilewella ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, hatujapokea taarifa ya katizo la huduma ya umeme maeneo hayo, tafadhali tufahamishe namba ya simu kwa msaada zaidi.^AM
  9. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari octavier, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie namba ya taarifa/tiketi kwa msaada zaidi. ^GK
  10. TANESCO

    Nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77 na Token haziingii

    Habari Tate Mkuu, asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole sana kwa changamoto hiyo, jinsi ya kuondoa ujumbe wa error 77 kwenye mita yako tafadhali nunua betri mpya kisha weka kwenye rimoti ya kujaza token na chomeka kwenye soketi ndani kwako hata kama unit zimeisha kisha bonyeza...
  11. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari Cashman, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa msaada zaidi. ^GK
  12. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari Jackal, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tupatie namba ya taarifa kwa msaada zaidi. ^GK
  13. TANESCO

    KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

    Ndugu pamjela tumewasilisha taarifa idara husika, wataalamu wetu watafika kwa ajili ya utatuzi wa changamoto hiyo.^FL
  14. TANESCO

    KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

    Habari pamjela, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali rejea inbox (DM) kwa msaada zaidi. ^GK
Back
Top Bottom