Habari, Wateja Wetu. Pole kwa changamoto hiyo.
Serikali kupitia TANESCO imeshaliona hili na tayari imeshachukua hatua ya kutekeleza ujenzi wa laini kubwa ya msongo wa kilovolti 220 kutoka Iganjo Mbeya hadi Saza Wilayani Mkwajuni yenye urefu wa Kilomita 122 yenye thamani ya Tsh.109 Bilioni na...
Habari, Ndugu Mteja.
Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala lako. Kwa kipindi hicho, akaunti yetu ilikuwa inakabiliwa na changamoto kwa muda, hali iliyosababisha kuchelewa kwetu kufuatilia na kujibu baadhi ya taarifa za wateja. Hata hivyo, kwa sasa akaunti yetu...
Habari, Ndugu Mteja. Asante kwa kuwasiliana nasi na pole sana kwa hii changamoto.
Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kwa wakati. Tumepokea taarifa yako na tayari tumeifanyia ufuatiliaji kupitia ofisi husika.
Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado...
Habari, Ndugu Mteja, na asante kwa kuwasiliana nasi.
Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kwa wakati. Tumepokea taarifa yako na tayari tumeifanyia ufuatiliaji kupitia ofisi husika.
Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado inaendelea kufanyiwa kazi na...
Habari, Ndugu Mteja.
Makundi yetu ya WhatsApp yatakuwezesha kupata taarifa muhimu kuhusu huduma zetu kwa wakati, pamoja na kutoa taarifa kuhusu changamoto zozote unazokutana nazo katika huduma zetu.
Endapo utapata changamoto kutoa taarifa kupitia ukurasa huu, unaweza kuwasiliana nasi kupitia...
Habari, Ndugu Mteja.
Kwanza, tunaomba radhi kwa kuchelewa kukupatia mrejesho kuhusu suala hili. Kwa kipindi akaunti yetu ilikumbwa na changamoto iliyosababisha kuchelewa kwetu kufuatilia na kujibu baadhi ya taarifa za wateja. Hata hivyo, kwa sasa akaunti yetu iko sawa, na tunaendelea kwa bidii...
Habari, Wateja Wetu.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu unaosababishwa na changamoto hii. Tafadhali fahamu kuwa bado tunaendelea kufanya ufuatiliaji na ofisi husika ili kupata taarifa sahihi kuhusu suala hili.
Tutawapatia mrejesho pindi tutakapokamilisha ufuatiliaji, pamoja na taarifa kuhusu hatua...
Habari, Ndugu Mdau, na asante sana kwa kuwasiliana nasi.
Tunashukuru kwa dhati kwa ujumbe wako, pamoja na maoni na ushauri wako kuhusu huduma zetu.
Tafadhali fahamu kuwa tumekuwa tukifanya hivyo,lakini maoni yako kwetu ni muhimu ilikufanya vizuri zaidi. Tumepokea maoni yako na tutayafanyia...
Habari, Ndugu Mteja, na pole sana kwa changamoto hii.
Tafadhali tutumie taarifa kamili za eneo lako, ikiwemo Mkoa, Wilaya na Mtaa/Kata, pamoja na mawasiliano yako.
Taarifa hizi zitawawezesha wataalamu wetu kufuatilia changamoto hiyo na kufika katika eneo lako kwa ajili ya kufanya uchunguzi na...
Habari, Ndugu Mteja.
Kwanza, tunakuomba radhi kwa changamoto hii na tunakushukuru kwa kutuvumilia ili tuweze kufuatilia na kuchukua hatua stahiki.
Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na bado inaendelea kufanyiwa kazi. Pia, tunaambatanisha barua kutoka ofisi yetu ya Chunya...
Habari, Ndugu Mteja.
Kwanza, tunakuomba radhi kwa changamoto hii na tunakushukuru kwa kutufahamisha ili tuweze kufuatilia na kuchukua hatua stahiki.
Tafadhali fahamu kuwa changamoto hii inafahamika na inaendelea kufanyiwa kazi. Pia, tunaambatanisha barua kutoka ofisi yetu ya Chunya inayoeleza...
Habari babukijana, asante kwa kuwasiliana nasi.
Tafadhali fahamu kuwa lengo la kuomba taarifa kamili si kwa ajili ya kuwawezesha wataalamu wetu kutambua eneo lenye changamoto pekee, bali pia kurahisisha mawasiliano na ufuatiliaji wa suala hilo. Hii ni sehemu ya ushirikiano kati yetu na wateja...
Habari AI BRAINFULL , asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo.
Tafadhali tufahamishe Kata, Mtaa/Kijiji na namba yako ya simu kupitia ujumbe binafsi (inbox) kwa msaada zaidi.^FL
Habari, Ndugu Mteja, na asante kwa taarifa zako.
Tafadhali fahamu kuwa lengo la kuomba taarifa kamili si kwa ajili ya kuwawezesha wataalamu wetu kutambua eneo lenye changamoto pekee, bali pia kurahisisha mawasiliano na ufuatiliaji wa suala hilo. Hii ni sehemu ya ushirikiano kati yetu na wateja...
Habari General Nguli asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi,
Wilaya
Kata
Mtaa
Namba ya simu
Kitu maarufu karibu na wewe
Namba ya nyumba.^FL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.