Recent content by TANESCO

  1. TANESCO

    MSAADA : Nashindwa kuingiza umeme tangu jana, Mashine ya kuingizia inazunguka tu..

    Habari @Kitangiri15 ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole sana kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie namba yako ya mita kwa msaada zaidi. ^JM
  2. TANESCO

    Nishagundua, majanga ya umeme ni kila Jumatano

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe Mkoa, Wilaya, Kata na kijiji chenye changamoto kwa usaidizi zaidi, pia msisite kutoa taarifa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji wa changamoto hiyo.^OK
  3. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto hiyo, tunashauri endapo mkipata changamoto hiyo ni vyema mkazima vifaa vya umeme ili kuepusha uharibifu.^OK
  4. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu mteja ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, ombilako lenye namba 021023-0921 na jina AUREUS CHARLES NDIMBO, lipo hatua ya kuunganishwa na huduma wakati wowote kuanzia sasa watalamu wetu watakufikia na kukupatia huduma.^OK
  5. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenye changamoto kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
  6. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu Abel asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, ukishapata mkandarasi na akisha jaza taarifa zako kwenye mfumo nadani ya siku 7 za kazi surveyor anafika na kufanya tathmini kisha mteja anasubiri kupatiwa control number kwa ajili ya malipo, tafadhali tupatie namba ya ombi...
  7. TANESCO

    Jinsi ya Kuondoa Error 77, kwenye mita zinazoanzia na namba 2421

    Habari ndugu mteja asnte kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali kama changamoto inasababishwa na kushindwa kuingiza umeme tupatie namba ya mita na ujumbe unapata tukuhudumie.^OK
  8. TANESCO

    Shirika la umeme mnatukatia sana umeme bila kutuandaa bila kujali

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenu tuweze kufanya ufuatiliaji zaidi.^OK
  9. TANESCO

    Ewe mzazi kama kuna shule za day huna haja ya kumpeleka mtoto boarding, Boarding imekuwa hatari sana kwa watoto kwa hali ya sasa

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenye changamoto ka ufuatiliaji zaidi.^OK
  10. TANESCO

    Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Habari ya wakati huu ndugu mteja na asante kwa kuwasiliana nasi, tafadhali tufahamishe ni wilaya gani inapitia changamoto hio ^EB
  11. TANESCO

    TANESCO msaada tafadhali. Niko gizani

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa wetu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tunaomba namba ya mita kwa ufuatiliaji zaidi, pia tupatie namba ya taarifa uliyopewa mwanzoni kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
  12. TANESCO

    Kwa Hali hii Tanesco mjitathmini

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifiatazo kwa usaidizi zaidi, Jina Mkoa Wilaya Eneo Namba ya simu Mita namba Kitu maarufu karibu na wewe Namba ya nyumba TANESCO Huduma Kwa Wateja SIMU: 0748 550000 WhatApp...
  13. TANESCO

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu Dan asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukutasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tunaomba namba ya taarifa uliyo pewa na mtoa huduma pia tunaomba namba ya mita kwa usaidizi zaidi.,^OK
  14. TANESCO

    Tanesco Iringa mjini hali ni mbaya

    Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa wetu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie namba ya simu tuweze kufungua taarifa kuhusu changamoto hiyo.^OK
  15. TANESCO

    Pongezi kwa TANESCO Dodoma

    Habari ya wakati huu ndugu mteja Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali tunaomba namba yako ya ombi la kuunganishiwa umeme (Application number) kwa ufatiliaji na hatua zaidi.^EB
Back
Top Bottom