Mkuu huo umakini wa mr president uko wapi?
Chini ya uongoz wake nchi imeshuhudia tembo wakipungua kwa kasi ya ajabu na kutisha, kiwango cha elimu kimeshuka, deni la taifa limepaa, umaskini na ufukara unazd, afya duni, tembo na twiga wamepakiwa kwenye ndege na kusafirishwa, kinyume cha sheria...