chizi utizama mvuto wa picha lakini mtu timamu huja na mvuto wa hoja.....sisi zetu hoja nyie upepo..poleni....ACT wazalendo tumaini la leo na kesho @ najikubali
muongo mkubwa wewe mtoa mada nikutumie picha ya lowassa alivyokimbizwa hospitalini au ndio umejisikia kudanganya ebu tusiwe waongo hivyo bwana.....ACT wazalendo tumaini la leo na kesho......... Najikubali
unajua wanatapatapa ludewa wanachama wanapita mia tano mujue hilo na kama munabisha njooni muone na kuokota jivu la kadi zenu....munacho mwaka huuu ACT wazalendo inatosha tumaini la leo na kesho.. Najikubali
ukawa walidhani kila mgeni anaekuja mwenyeji anapona sasa kazi munayo..na kwa taarifa nyingine za huzuni newala chadema na cuf wote wamerudisha fomu haya ukawa iko wapi.......hakuna jipya ZAIDI ya ACT -wazalendo.... tumaini la leo na kesho ..... Najikubali
usijidanganya kichafu si chama ni watu ndio wachafu kama ni mfumo kwanini magufuli na viongozi wengine wengi hawana sifa mbovu kama lowasa ebu sema kweli bwana lowasa ndio mchafu na sio ccm
Mimi nazani kuweni makini tuuu mutaelewa chadema hata kikishika nchi baadae tutasema marakumi iendeleee ccm na hii leo mutakataa lakini mutaamini fanyeni mistake mpeni kura lowasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.