Recent content by TANAPA

  1. TANAPA

    JamiiForums Tanzania TANAPA tupo Nane nane- Njiro

    Karibu utembelee Banda la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika Viwanja vya Nanenane Njiro, jijini Arusha yanapofanyika maonesho ya 32ya Kilimo maarufu kama NaneNane yakiwa na Kauli mbiu isemayo "Tambua Soko; Ongeza Tija kutekeleza Dira 2050" Ndani ya banda letu utapata elimu ya Uhifadhi...
  2. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ulene aazimia kuwa Balozi wa hiari wa utalii na uhifadhi nchini Marekani, KINAPA ikimpongeza kuandika rekodi mpya

    Tunaendelea kuboresha miundombinu inayotumiwa na wageni ili kuhakikisha tunatengeneza kumbukumbu nzuri kwa watalii pamoja na kuwafanya warudi tena Tanzania.
  3. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Ni kweli kwamba nyoka hawana masikio ya nje (external ears) wala tundu la sikio linaloonekana kama wanyama wengi. Hata hivyo, wana mfumo wa kusikia unaojumuisha sikio la ndani (inner ear) pamoja na mfupa maalumu unaoitwa columella auris unaosaidia kupokea na kusafirisha mitetemo. Nyoka hutambua...
  4. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Kwa mujibu wa Sayansi, Nyoka hawana miguu kwa sababu walibadilika kimaumbile (evolution) kwa mamilioni ya miaka. Vizazi vya Mababu zao wa kale walikuwa na miguu, lakini kadiri walivyozoea kuishi kwa kutambaa , kujipenyeza kwenye mashimo, nyasi na miamba inaaminika kuwa miguu ilianza ikapungua na...
  5. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ulene aazimia kuwa Balozi wa hiari wa utalii na uhifadhi nchini Marekani, KINAPA ikimpongeza kuandika rekodi mpya

    Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (KINAPA) leo Julai 16, 2026 imefanya mapokezi na kutoa pongezi kwa raia kutoka nchini marekani (daktari mstaafu) Dkt. Art Ulene kwa kutambua mchango wake katika kutangaza utalii na uhifadhi wa Mlima Kilimanjaro mara baada ya kuvunja na kuandika rekodi mpya ya mtu...
  6. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Hapana, nyoka ni reptilia si mamalia hivyo hawana tezi za maziwa
  7. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Ndiyo, wapo nyoka wenye vichwa viwili japo ni nadra sana kuwaona au ni kwa mara chache sana huzalia hivyo. Hali hiyo huitwa "dicephaly" ambapo kiintete kinapokua mapacha wanaofanana hawajitengenishi vizuri na kupelekea nyoka kuzaliwa na vichwa viwili ambapo kila kichwa na ubongo wake.
  8. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Hizo ni imani za kale ambazo watu walikuwa wanazitumia ili kuwafanya watu wasiwaue hao wanyama.. mfano kuna misitu ilikuwa unakatazwa kuuingia kuwa ukiingia miti inatoa damu... Yote hayo ni myths za zamani zilizotumia na mababu zetu kuhifadhi na kulinda maliasili kabla ya uhifadhi wa kisasa wa...
  9. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kufikiria kwanini Nyoka na Twiga hawatoi sauti kubwa kama Simba au ndege, na hutumia njia gani ya mawasiliano?

    Twiga na Nyoka ni miongoni mwa wanyama ambao mara nyingi hawasikiki wakitoa sauti kama Simba au Tembo... lakini hilo halimaanishi hawawasiliani! 🤫 Je, wanawasilianaje? 🤔 fuatilia hadi mwisho ugundue siri za mawasiliano yao na maana ya mlio wa "hiss" wa Nyoka, pamoja na ishara nyingine ambazo...
  10. TANAPA

    JamiiForums Tanzania Kamishna wa Uhifadhi TANAPA aanza kazi kwa maagizo sita ya Waziri Dkt. Kijaji

    Na. Calvin Katera - Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ametoa maagizo sita kwa Kamishna wa Uhifadhi TANAPA Massana Mwishawa leo Julai 09, 2026, jijini Arusha alipokuwa akiongoza zoezi la uapisho kwa aliyekuwa Naibu Kamishna wa Uhifadhi baada ya kuteuliwa na Rais wa...
Back
Top Bottom