Huu upumbavu wa kumlinganisha magufuri na Mh. Samia ndio ninaoukataa
https://www.jamiiforums.com/threads/kumlinganisha-rais-samia-suluhu-na-hayati-rais-magufuli-ni-tabia-ya-hovyo-na-haikubaliki.1853916/
Kumeibuka na tabia fulani ya kumshindanisha Mheshimiwa Samia na hayati Magufuli kwenye kila jambo na hatua anazochukua.
Mfano, kwenye hafla ya kupokea ripoti ya CAG mheshimiwa aliagiza kusimamishwa kwa Mkurugenzi wa Bandari, baada ya hatua hiyo kuliibuka na wachambuzi uchwara wakaanza...
Limepaisha kwenye duru mbali mbali za kitaifa na mataifa.
Kama unakumbuka yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupinga Lockdown baadaye ikaja kuonekana kujifungia(lockdown) kwa nchi za afrika ni kuumiza wananchi
Akaja kwenye chanjo akasema si vyema kupokea chanjo na kuzitumia kabla ya kuzifanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.