Recent content by Tambukareli

  1. T

    Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

    Katika maisha mwanadamu lazima upitie stage tatu KUZALIWA, KUISHI NA KUFA. Usisahu hilo mkuu maana sisi wote ni marehemu watarajiwa
  2. T

    Kumlinganisha Rais Samia Suluhu na Hayati Rais Magufuli ni tabia ya hovyo na haikubaliki

    Tuna wafahamu na mipango yao ya kumhujumu Rais tumeshainyaka
  3. T

    Pengo la Magufuli limeanza kuonekana kwenye hili swala la vifurushi

    Huu upumbavu wa kumlinganisha magufuri na Mh. Samia ndio ninaoukataa https://www.jamiiforums.com/threads/kumlinganisha-rais-samia-suluhu-na-hayati-rais-magufuli-ni-tabia-ya-hovyo-na-haikubaliki.1853916/
  4. T

    Kumlinganisha Rais Samia Suluhu na Hayati Rais Magufuli ni tabia ya hovyo na haikubaliki

    Unacho kisema ni sahihi kabisa mkuu na wengi wanaomfanyia ulinganisho huo ni wana ccm wenzetu sijui lengo lao ni nini?
  5. T

    Kumlinganisha Rais Samia Suluhu na Hayati Rais Magufuli ni tabia ya hovyo na haikubaliki

    Kumeibuka na tabia fulani ya kumshindanisha Mheshimiwa Samia na hayati Magufuli kwenye kila jambo na hatua anazochukua. Mfano, kwenye hafla ya kupokea ripoti ya CAG mheshimiwa aliagiza kusimamishwa kwa Mkurugenzi wa Bandari, baada ya hatua hiyo kuliibuka na wachambuzi uchwara wakaanza...
  6. T

    Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

    Limepaisha kwenye duru mbali mbali za kitaifa na mataifa. Kama unakumbuka yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupinga Lockdown baadaye ikaja kuonekana kujifungia(lockdown) kwa nchi za afrika ni kuumiza wananchi Akaja kwenye chanjo akasema si vyema kupokea chanjo na kuzitumia kabla ya kuzifanyia...
  7. T

    GE2020 Nitawashangaa CHADEMA kama watampitisha Tundu Lissu kuwa mgombea

    Ahahaha umepanic brother wewe unapata nini unapo mchukia magufuri?
  8. T

    GE2020 Nitawashangaa CHADEMA kama watampitisha Tundu Lissu kuwa mgombea

    Hapo alikuwa akiwatania watani zake wazaramo
  9. T

    GE2020 Nitawashangaa CHADEMA kama watampitisha Tundu Lissu kuwa mgombea

    Tundu lissu ni mwenyekiti wa CCM? Usipotoshe lengo bwana sheikh kama nyie wenyewe mmeshindwa kumtetea basi hafai
  10. T

    GE2020 Nitawashangaa CHADEMA kama watampitisha Tundu Lissu kuwa mgombea

    Lissu mbele ya Rais magufuri ni mwepesi mno nikisema mwepesi namaanisha mwepesi kweli kweli kwahiyo hakuna anayemwogopa bwana sheikh
Back
Top Bottom