WanaJF katika kuendeleza uongo wa misukule tulitambulishwa na mleta uzi kuwa hawa ni walinzi wa Dr Slaa
Inashangaza kuona walinzi wamekaa meza moja wakipiga deal hii protocal ya wapi? ebu angalia waliokaa upande wa kushoto kuanzia mtu wa tatu mpaka wa nne utagundua ukweli
Usitake kudanganya watu wewe hapa ni imani za kishirikina tu zinazopelekea taratibu kuvunjwa, kwani washauri,wasemaji,wakereketwa na wapambe wa babu wanahisi prezidaa akiachiwa tu ofisi anaweza kuweka tunguri toka Kigomaaaa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.