Recent content by Tamati

  1. Tamati

    Huyu msanii anaitwa nani?

    Kumbe ni Flora, sijamtambua aisee
  2. Tamati

    Huyu msanii anaitwa nani?

    Anaitwa nani
  3. Tamati

    Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

    Niliwahi kudate na mke wa mtu tukiwa mikoa tofauti hadi akalainika. Tulifahamiana kwenye group la WhatsApp na pia niliwahi kumsaidia kumuuguza mzazi wake alipokuwa amelazwa kwenye mkoa nilipokuwa. Kitendo kile ndio kilinifanya niwe nawasiliana naye mara kwa mara na hatimaye nikazoeana naye...
  4. Tamati

    Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

    Toa location mzee
  5. Tamati

    Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

    Hii huduma kwa Dom tunapata wapi
  6. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Background yake hadi anafikia kwenye umri wa sasa, siijui. Hili linanifanya nisiweze kukuambia endapo ningekuwa yeye ningefanyaje
  7. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Kutoa jibu ambalo sio sahihi ni faida kwa wenye kutafiti/kuhoji. Ukizingatia pia ni mtu mzima/mkubwa haitakiwi kukubali bila kujiridhisha(kuchunguza/kudadisi). Ukiwa na desturi ya kudadisi, kwa asilimia kubwa utakuwa unafanya maamuzi yaliyo sahihi. Hata kama mimi sijamwambia ukweli ila uwanja...
  8. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Una haki ya kutoa maoni yako mkuu. Endapo yeye angenitafuta, pia ungeweza kusema ni uzinzi?
  9. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Kumtafuta sio dhambi, hata wewe najua huwa kuna baadhi ya watu unawakumbuka hata kama mumepotezana kwa muda mrefu. Kabla sijafahamiana naye, tayari nilikuwa na mtu wangu ambaye ndio nilimuoa. Kuwa na mtu wangu haiwezi kunizuia kufahamiana na watu/jamii wapya/mpya kwenye pilika pilika za...
  10. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Wanasahau kuwa hata kama jukumu la utafutaji kwa ajili ya familia ni la mwanaume, ila support yao kwa mwanaume ni muhimu sana, hata kwa maombi tu. Hivyo wasiogope kisa mtu hajajitafuta.
  11. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Ukute hajajipata ndio anavurugwa zaidi, bora hawa ambao angalau wamejipata ndio wanaamua kutafuta watoto then wanabaki kulea wenyewe na majasho yao
  12. Tamati

    Hii pressure ya wanawake wakifikisha 26 na kuendelea imekuwa tatizo sana, wanabaki kuchukua maamuzi magumu

    Huwa wanafeli kwa kusahau kuwa mambo huwa yanabadilika ndio maana baadae wanabaki kusema bora liende
Back
Top Bottom