Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko,choo,bafu,stoo,na dinning. Pia nyuma ina nyumba ndogo yenye sebule na vyumba viwili. Bei ni Mil 50.
Original Documents zote zipo.
Kwa mawasiliano please call 0758251100
Ni kweli alianza kuni'ignore baada ya mtoto kuzaliwa lakini nikajaribu kumuelewa but this time naona inavuka mipaka nimejaribu kuongea nae kama kuna kitu chochote au kama amepata mtu mwingine anakataa kua hana.
Habari,
Mimi ni kijana wa miaka 32 sasa. Ninae mpenzi wangu wa muda tangu 2009 wakati anasoma A level. Nimekua nae mpaka anahitimu chuo kikuu na Mungu ametujalia mtoto wa kike ana umri wa miezi 18 sasa. Tupo katika mpango wa kufunga ndoa mwaka huu na taratibu za awali zote nilishakamilisha...
Habari wanajamvi,kuna viwanja (havijapimwa bado -shamba) ekari 2 vinauzwa vyote kwa pamoja.
Ekari moja inauzwa kwa Tsh 10,000,000.
Vipo Nkuhungu karibia na mnadani - mita 200 kutoka barabara ya lami (Dodoma -Singida)
Karibuni sana.
0715 251100.
For a serious buyer,Plot yenye sqm 3345 kipo Dodoma Itiga airport road njia ya kuelekea Singida.
Bei ni mil 150.
Kiwanja kina kila kitu.
Call: 0715 251100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.