Recent content by Talc

  1. T

    Mwanamke: Ni jukumu lako kujipa muonekano wa kumvutia mumeo baada ya kujifungua

    Kwa wale wenye maziwa meng sawa but binafsi nicpokula vizuuuuuuur mtoto ananyonya had kizunguzungu hvyo nakuuuuuula ili dogo akae poa na ofcoz mi pia nmenenepa bt najua nini nafanya,nkimalza kunyonyesha haaaaaa huwa najirudia kuuuuuleeeeee kwa zamani bla hata hzo cjui gym
  2. T

    Mpenzi wangu hataki nimuoe bila mimi kwenda kwao

    Hivi kwani kila mtu lazima afungue uzi humu ndani??
  3. T

    Hivi ni wapi tumekosea? Hebu wanajamii tushauriane

    Watu8,mtu mzima alodumaa ukimuona unamtambua jaman haka ni katoto kabisaaa maana hata ile sauti kanayoiongea ni ya ktoto bado yaani ningekuwa niliwaza ningekapiga hata picha niwawekee nanyi mnisaidie!! Then sidhani kama hawa mareceptionist wetu huwa wanazingatia umri wa wateja wao na kudaut...
  4. T

    Hivi ni wapi tumekosea? Hebu wanajamii tushauriane

    Ohooooo!!! Mkuu ni kitoto kidooogo yaani hata sijui nikuelekezeje?? Yaan hata ule uso ni wa kitoto yaani nina uhakika miaka kumi kle ktoto hakijafika!! Navokwambia niliumia ujue niliumia maana ni kitoto haswaaa
  5. T

    Hivi ni wapi tumekosea? Hebu wanajamii tushauriane

    Juzi katika pita pita zangu nikakuta binti anamjibu mama mtu mzima eti anasema na yeye ni mtu mzima ana haki ya kulala guest kama mwanamke yeyote. Nikasimama kwanza nimwone binti, jamani kalikuwa ni binti mdogo ana miaka kama tisa au nane hivi. Hapo ikabidi niulize kwani vipi, mweeee kale...
  6. T

    Ukisikia fumanizi basi ndo hili...

    MMmmmmmm,aisee unaweza ukajkuta unasalmia,shkamoo ehee eheee
  7. T

    Kutana na warembo wa JF waliojitolea kuweka picha zao bila chenga

    Mmmmmmmh! Ngoja npite mbaaaali ka nilivoambiwa!
  8. T

    Nawiwa kutoa msaada hapa japo sijui naanzia wapi, ushauri wako ni wa muhimu

    Wifi ana miaka 17 now! Asante ntajitahidi
  9. T

    Nawiwa kutoa msaada hapa japo sijui naanzia wapi, ushauri wako ni wa muhimu

    Asante dia ngoja niufunge mdomo wangu nisije jikuta makuchan mwa chui!
  10. T

    Sendoff ina muhimu gani kuliko ndoa?

    Kwani sendoff lazma iwe kabla?? Hata baada ya ndoa sendoff inafanyka tuu! Labda kama kuna lingine
  11. T

    Ukishazaa tu ndo ujiachieee

    Mtoto ana umri gani kwanza!! Ntaanzia hapo
  12. T

    Nawiwa kutoa msaada hapa japo sijui naanzia wapi, ushauri wako ni wa muhimu

    Ndani yangu natamani niyavunje haya mahusiano bila kuwaathiri wanandoa maana hapo muathirika namba moja ni mamdogo aliyemuhurumia binti yake akaona aje amsitiri na maisha japo akae nae,sasa naanza vipi??
  13. T

    Nawiwa kutoa msaada hapa japo sijui naanzia wapi, ushauri wako ni wa muhimu

    Kunyamaza nashindwa tatizo naanzaje,nianzie wapi dadangu??
  14. T

    Nawiwa kutoa msaada hapa japo sijui naanzia wapi, ushauri wako ni wa muhimu

    May be! Japo si jambo la kawaida hili kwangu mie kwa kuzingatia undugu uliopo duuu!!! Wonders shal never seaz!! Then hapo umeniuliza why talc means??
Back
Top Bottom