Hapo kila kitu kimeshaharibika kwenye maisha yenu hata ukimsamehe jua utakuwa umejifunga kwenye kifungo kibaya sana kitaisha ukiwa umekufa tu nasisitiza sana, wachache sana wenye uwezo wa kusamehe ila msamehe kama moyo wako na afya yako ya akili viko sawa tofauti na hapo husimsamehe pia...
Sayansi ya akili inasema kiwango cha raha unayotafuta kwa kigezo cha kutafuta furaha huwa ni kidogo tofauti na madhara yanayotokana na furaha uliyopata, sasa twende wakati unajenga kimya kimya ulikuwa na furaha sana ila unaona madhara yalivyokuwa makubwa kwako hata furaha ya nyumba uliyojenga...
Kinachoumiza watu hata sio kitendo cha kuchepuka bali ni FIKRA zao zinazotafsiri tafsiri kitendo hicho yaani tafsiri zinakuwa nyingi ndo ambazo zinaleta maumivu, ukifatilia kwa makini mtu ambaye anafikra nyingi ni rahisi kusamehe ila mwenye fikra nyingi hawezi kusamehe ataishi na maumivu mpaka...
Usihofu Karma is real atalipa kwa yote aliyokufanyia kama sio yeye basi mke wake kama sio mke wake watoto wake mpaka wajukuu wake, ulimwengu wa roho umesikia kilio chako lazima utatenda haki juu yake pamoja familia yake ni suala la muda tu, ila malipo lazima yalipwe cha kufanya jua tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.