hi!pole sana mumy 4ur broken heart,bali usichukuwe mahamuzi ya haraka kiasi hicho kuwa na man mapema kwanza kaha chini tafuta wapi ulipo kosea kisa angaria mbere.kwani mapenzi ya sasa hatari.hata sisi tuna mengi lakini tunakufa nayo moyoni.tafakari kwanza mumy.
kaka hayo ni mambo ya zamani sana ni nisawa na kumkeketa mwanamke,niheri ya kuwa na nyumba ndogo kuliko umrithi mke wa kaka yako.kwanza wajuwa kaka mkubwa ni sawa na baba mzazi!kama walijuwa hilo nisawa na kumlithi mzazi samahani kwa kauri hiyo kwani najaribu kukuweka ktk jamii ya sasa siyo hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.