Habari za leo jamani mimi ninakuja na suala lingine tofauti, nimekosa wapi ninaweza kupata msaada, nilikuwa natafuta kazi/ajira imekuwa ngumu kwajili ya kipindi hichi cha corona na hali ngumu ya kimapato.
Kwa bahati nzuri nimepata gari ya aina Nissan Serena ipo kama Toyota Alphad natafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.