Recent content by tahit

  1. tahit

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Mkuu OBE DREAM NI NDOTO ZA AINA GANI
  2. tahit

    Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

    alafu wewe utakwenda wapi?
  3. tahit

    For 1500 years .... Hakuna Jambo La Kushtua Dunia

    katika hili ume waza na fikira zako zipo vyema kabisa naweza kusema kwa mtazamo wangu, maisha walio kua wakiishi watu wazamani kunatofauti kubwa sana na maisha tunayo ishi sasa, teknolojia imechukua nafasi kubwa sana tofauti na hapo zamani kiasi kwamba watu inafikia mahala tunajisahau...
  4. tahit

    TAMKO: CUF yatangaza kutoyatambua matokeo na hakimtambui Dkt. Shein

    SHERIA NI MSUMENO NILAZIMA SHERIA ITEKELEZWE PALE INAPO BIDI.. INATAKIWA WATU MKUMBUKE NINI KILITOKEA MPAKA UCHAGUZI KUAHIRISHWA VISIWANI HUKO. KULIKO MKAWA BENDERA FUATA UPEPO. YAWEZEKANA KWELI MAALIM SEIF ALISHINDA. LAKINI KWA PRESHA YA KUWA RAIS MPAKA AKASAHAU SHERIA ZA UCHAGUZI. WANA CUF...
  5. tahit

    Aina za viganja, Michoro iliyopo kwenye kiganja cha mkono wako na siri ya Maisha yako

    fanyeni kufafaua mnao jua hili vizuri maana naona huu uzi unaguswa juu juu tu, sasa inamaana haiwezekani kuelezea hi mistari ikiwaje ndio inaleta maana flani, kwamfono mstari ulio andikwa head line umefafanuliwa unahusika na nini, lakin haijaelezwa ukiona upo mrefu au hauja nyooka ujue...
  6. tahit

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    hadithi ikisomwa na kufuatishwa maandiko bila kuwa na uwezo angavu wa kupambanunua mwishowe huishia bila kueelewa madhumuni ya mtunzi, vile nionavyo mgongano wa hoja unatokana na namna wasomaji ninyi mlivo elewa na hitimisho za fikra zenu,, basi bila woga isinge faa kutoa fikra potofu na lawama...
  7. tahit

    Athari ya nyota katika maisha ya binadamu

    the way ulivo elezea hapo mkuu nafikiri unazungumzia 7chakra ila umezipa majina ya nyota au sayari,, kama nime kosea waweza kuni sahihisha pia.
  8. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    y niyapi hayo tuliyo funuliwa mkuu, em funguka kidogo tunufaike nasi kidogo
  9. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    nimekuuliza unajua nafsi,roho na mwili? au hujaona kama ni swali hilo kiranga..
  10. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    je, unajua kama Kila ushahidi una namna yake yaku uwakilisha ? kwamfano wewe ukiwa unaumwa malaria ukaenda kwa doctor anakuthibitishia vip kama kweli homa yako ni ya malaria? so kila unapo taka kuthibitisha kitu au jambo lolote kunaaina ya kuwakilisha kwanza utambue hilo, sio lazima ukione kwa...
  11. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    MIMI SIO TU NAAMINI BALI NAELEWA KWMABA MUNGU YUPO
  12. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    elewa kwamba mungu ni nani au jiongeze kwa kujitafakari wewe binafsi utajua kwamba mungu alikuumba kwa mfano wake yeye sasa who are you? unapo tamka shetani katika fikra zako una pata picha gani? je unahisi ndio yule tunao abiwa kuwa anajicho moja au ni yule mwenye kucha ndefu na mampembe...
  13. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    mkuu kuna kitu hapo hakipo sawa katika kujua nini hasa sababu ya kuwepo hapa duniani, kwajinsi nijuayvo mimi nikwamba kila mtu ana sababu yake ya kuwepo na kuishi hapa dunian, sasa kupata shida au raha intokana nakiwango cha maarifa cha mtu husika, mungu alisha maliza kazi yake ya uumbaji, the...
  14. tahit

    Je! Mungu ni yule yule?

    wana sema mungu kamuumba bina damu kwa mfano wake yeye, wana sema mungu yupo kila sehemu, ulipo yupo, haya ni maneno yanayo patkana katika vitabu vya dini zote ndivyo tulivo fundishwa, katika vitabu hivi havija pamba panua kiundani manneno haya, hii inatokana na kwamba vitabu hivi vimeandikwa...
  15. tahit

    Sprit Science(Sayansi ya Roho)

    ina hitajika kuji tune katika frequency za juu juu kidogo ili kuelewa hii colocatability.. lakin kwa uelewa wangu naona kuna logic kwa makuwadi wa upande huu..kuna haja ya kufikirisha akili zaid katika kuitambua roho.. wale watu wa kufanya meditation wana elewa sana na nikawaida kwao kutoka nnje...
Back
Top Bottom