Recent content by T2020

  1. T

    GE2025 CCM inahitaji vyama shirika vya upinzani kuliko chochote. Tishieni kujitoa kuwa hamuwezi mudu tena ghalama za kampeni. Mtanishukuru

    CCM siyo wajinga. Magari wanajaza mafuta wenyewe na service wanafanya wenyewe. Posho wanakupa wakikuona site. Kuna watu wa kitengo wanafuatilia value for money. Wale vijana wa Mbowe wanajulikana kwa utapeli.
  2. T

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    UDSM wamfutie Uprofesa haraka. Wakichelewa chuo kinaweza shushwa hadhi yake.
  3. T

    KERO GE2025 Rais Samia ni mgombea kama wengine. Watumishi na wanafunzi si mali ya CCM. TUGHE kemeeni barua za vitisho za waajiri juu ya wasiohudhuria kampeni CCM

    Kama anajiamini aombe kukutana TEC, halafu mwandishi wao yule katibu wa TEC awepo sasa. na makovu yake ya kushambuliwa Lazima ataomba poo.
  4. T

    GE2025 Padre Emilius Kobelo: Wanaosema Kura zinaibiwa siyo waendawazimu, huwezi kufikiria jambo ambalo halipo

    Hivi kwa nini wakatoliki wanaogopwa? Wako wengi?, Wana umoja? Siyo waoga? Hawana maovu? Hawaibii waumini? Wanamiliki majengo/ aridhi kihalali? Kanisa lao limesajiriwa kihalali? Wanamtandao dunia nzima? Au kwa nini?
  5. T

    Kukosekana kwa upinzani madhubuti wa Chadema na Tume Huru ya Uchaguzi. CCM inachukua mgombea yoyote hata asiye na ushawishi kwa wapiga kura.

    CCM imeamua kuwaacha wagombea wenye ushawishi kwa wananchi kwa kuwakomoa kwa kuamini yeyote ikimuweka anapata ubunge. Hata walioachwa hawana pa kwenda kwani wakifanya hivyo visasi vitawafuata. Kukosekana kwa mfumo huru wa uchaguzi na CCm kumiliki vyombo vyote vya dola ( mahalama na bunge) na...
  6. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Haamini takwimu za Sensa ya Taifa inayotumiwa na serikali yake ya CCM kupanga mipango ya maendeleo na hata Dira ya Taifa iliyozinduliwa juzi.
  7. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Haamini takwimu za Sensa ya Taifa inayotumiwa na serikali yake ya CCM kupanga mipango ya maendeleo na hata Dira ya Taifa iliyozinduliwa juzi.
  8. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Msome tena mtoa hoja maswali yako yanamajibu. Majibu ya Tume ni muhimu sana juu ya hii tofauti.
  9. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Kitambulisho Kwa sasa watanzania wanachotafuta ni cha utaifa hicho cha kura huwezi hata sajiria line ya simu. Tunataka Tume ieleze hiyo tofauti. Usikute marehemu bibi yangu aliyejiandikisha wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vinghi bado yumo kwenye idadi hii 37m.
  10. T

    GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Wagomee sensa wanayofuatwa nyumbani wakimbilie kujipanga foleni kujiandikisha kupiga kura? Kwa tofauti kubwa hiyo. Mpumbavu utakuwa wewe unayetetea ujinga.
  11. T

    Ansbert Ngurumo: CHADEMA Kinafanya kila jitihada kukwepa lawama hata kwa mambo ambayo kimekosea hadharani

    Li Chumma lao limebuma. Ameshindwa kuwashauri anatafuta nini Chadema?
  12. T

    Hii nguvu ya kisiasa na ushawiahi mkubwa wa John Heche imetokea wapi muda mfupi?

    Uko sahihi hata awe msemaji mkuu Mnyika, Lema, Boni Yai au Sugu atakuwa maarufu tu.
  13. T

    Matangazo Mubashara Tumaini Tv, mtu anapigwa vijembe muda huu. Ni tukio la kusimikwa askofu katoliki jimbo Bagamoyo..

    Hongera mseminari mwenzangu Askofu Stephano Lameck Musomba kwa daraja la kubwa kiroho kuwa askofu WA kwanza Jimbo la Bagamoyo.
Back
Top Bottom