Sijawahi ona umuhimu wa hivi vyama zaidi ya kukata pesa za watumishi at least watoe Tshirt au hizo kangha za ubora wa kueleweka kwa members wake hiyo once per year. Kuliko kuvalisgana midosho
Kila mwaka vyama vya wafanyakazi vinasherekea siku ya wafanyakazi yaani mei mosi na sherehe hizi zinaendana na kutengeneza sure hususan Tshirt au kutoa khanga kwa ajili ya kushona.
Jambo la kusikitisha licha ya kuwakata wafanyakazi ambao ni member wa vyama hivyo Kila mwezi kwenye mishahara yao...
Ki ukwel watumishi wengi tunapata changamoto kubwa sana hasa wakati wa kutaka kuhama kupitia mfumo wa e-uhamisho kwani unakuta mtu una vigezo vyote vya kuama taasisi moja kwenda nyingine lakini ukiomba kwenye mfumo unakataa na kuandika "your designation has staff deficit in your organisation"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.