nawashukuru wote mlionishauri najua kila m2 ameonyesha upeo wake wa akili ulipoishia aliyeonyesha busara mungu ambariki aliye2kana najua ni ufinyu wake wa mawazo cwezi kulaumu najua kwenye jamii kuna wendawazimu pia keep it up meen!
Mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana so nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana JF.
natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mke na mama wa watoto wangu about age asizidi 25 yrs mambo mengine sijali cha msingi ni upendo wa dhati tu. atakaye guswa anicheki hapa 0687062616 au sycobzetz@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.