hivi wandugu huu mpango wa TASAF kusajili watu maskini ilhali serikali ikijua fika tunaelekea kwenye chaguzi ndogo za serikali za mitaa na huku serikali ya CCM ikijua fika watu maskini hasa hasa wazee na akina mama ndiyo mtaji wao mkubwa kwenye upigaji kura!!!!##nawaza tu wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.