Recent content by swebhe

  1. S

    CHADEMA inaimarika na inasonga mbele

    Ni hivi, daftari liboreshwe kila uchaguzi unapojitokeza, kwa mfano sasa hivi uchaguzi wa chalinze ufanyike mara tu baada ya kuboresha daftari siyo tena kutumia lilelile la mwaka 2010. Hapo ndiyo tutaona mpampano halisi na kuondoa kabisa huu ubishani wa nani zaidi baada ya maboresho.
  2. S

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    ACT munapaswa kujuwa kuwa mnasafari ndefu sana mpaka mfike hapo ilipo chadema leo. Labda kama hamji kufanya siasa za ukombozi dhidi ya mfumo huu uliopo sasa,
  3. S

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    Umechanganua vizuri sana nimeipenda hii.
  4. S

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    tuna safari ndefu sana kuufikia ukombozi!:angel:
Back
Top Bottom