Ni hivi, daftari liboreshwe kila uchaguzi unapojitokeza, kwa mfano sasa hivi uchaguzi wa chalinze ufanyike mara tu baada ya kuboresha daftari siyo tena kutumia lilelile la mwaka 2010. Hapo ndiyo tutaona mpampano halisi na kuondoa kabisa huu ubishani wa nani zaidi baada ya maboresho.
ACT munapaswa kujuwa kuwa mnasafari ndefu sana mpaka mfike hapo ilipo chadema leo. Labda kama hamji kufanya siasa za ukombozi dhidi ya mfumo huu uliopo sasa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.