Tatizo mikataba wanayosaini mabwana wakubwa hawa hufanywa siri mno kiasi ni vigumu mwananchi wa kawaida kufahamu ingekuwa ni amri ningeshauri wabunge washirikishwe.
Ulichofanya si sahihi mtake msamaha mungu wako kisha ukapime utaalam ulioko sasa waathirika wanaishi zaidi ya robo tatu ya life span ushauri mwingine unaopewa ni wa
kijinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.