Wote wanakufa uwe mwema au mbaya. Ila akifa mwema inaleta attention kubwa hence kuonekana wema ndo wanakufa. But wabaya nao wanakufa sema akifa mbaya no body care
Nchi hii inaongozwa na wajinga sana. Hata Mimi nilitegemea umeme ushuke Bei. Cha ajabu wapo tayari uzalishaji wa umeme ikizid waache upotee kuliko kupunguza Bei. Sema na wananchi ndo hao wanajua Simba na yanga tu. Pumbavu kweli Kila anayeishi tanzania
Mimi English medium nilimpeleka mtoto ili awe salama tu kwa sababu care kuleipo afadhali na walimu wanawajibika Kama atapata tatizo. Lakini kwa upande wa elimu ni uongo. Mwaka huu nampelekakayumba then hela niliyokuwa nalipa kule nitakuwa namnunulia assets Kama mashamba. Maana naona watoto wa...
English medium ni kwa usalama wa mtoto tu. Mm najiuliza mbona watoto wa kiarabu hawasomi lakin wanaendesha ndinga Kali? Mwaka huu nimeamua kumtoa mtoto huko na kumpeleka kayumba. Then hela niliyokuwa nalipa kule nitakuwa namuwekea kwenye account then at the end nije nione which is better.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.