Mfululizo wa mvua zinazoendelea baadhi ya maeneo jiji la Dar es salaam, zimesababisha uvunjifu wa daraja lilipo kata ya Kibo mtaa wa Gide wilaya ya Ubungo.
Uharibifu huo, umekuwa tishio kwa maisha ya wananchi wanaoishi maeneo hayo na maeneo jirani kuhofia kupoteza maisha yao kwa sababu daraja...
Akili bandia ni nini? Huu ni mchoro wa ujasusi au roboti ambayo inajaribu kuiga kazi za binadamu zenye ubongo kwa kutumia aligorithms data iliyojifunza, kutokana na ukuaji wa technolojia akili bandia inaweza kutumika katika programu za kumpyuta ambazo zinaweza kufanya maamuzi ya kibinadamu au...
MAZINGIRA
Tanzania yetu, Fahari yetu, mazingira yetu daima tutayatunza, Tanzania ndo nchi pekee yenye mazingira ya kuvutia na yenye nuru na mwangaza, hivyo basi ni jukumu la kila mwananchi kuweza kuyalinda na kuyatunza mazingira hayo, mito ni moja ya rasilimali yenye umuhimu zaidi tunapotunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.