DAGHT NI YA WATANZANIA. TUNAHITAJI MSAADA WENU ILI TUANZE.
Habari wana-DAGHT na Watanzania wenzetu.
Kuna vijana Watanzania wameamua kujaribu kitu ambacho si rahisi — kujenga mfumo wa kidigitali wa Kitanzania unaolenga kurahisisha namna watu wanavyopata bidhaa na huduma, kufanya malipo kwa...
Mkuu mimi tayari nimeshatengeneza app bado latra na usajili mdogo,kama unaweza kuinvest au kusupport tunaweza kuongea ili kuona app na mikakati madhubuti tuliyonayo kama unaweza tunaweza wasiliana..0624083198..whatsap & Normal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.