Recent content by Swalehe Hamiai

  1. S

    JamiiForums Tanzania Tanzanian digital market

    DAGHT NI YA WATANZANIA. TUNAHITAJI MSAADA WENU ILI TUANZE. Habari wana-DAGHT na Watanzania wenzetu. Kuna vijana Watanzania wameamua kujaribu kitu ambacho si rahisi — kujenga mfumo wa kidigitali wa Kitanzania unaolenga kurahisisha namna watu wanavyopata bidhaa na huduma, kufanya malipo kwa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Winga APP business idea!

    Mkuu mimi tayari nimeshatengeneza app bado latra na usajili mdogo,kama unaweza kuinvest au kusupport tunaweza kuongea ili kuona app na mikakati madhubuti tuliyonayo kama unaweza tunaweza wasiliana..0624083198..whatsap & Normal
  3. S

    JamiiForums Tanzania Winga APP business idea!

    Hiii Idea mkuu bado ipoo? Ya winga app business Idea
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

    Mimi nimepanga kuwafungulia mashtaka mahakamni maana nimesha save na ushahidi ninao hapa sasa natak tutakutane mahakamaniii na upumbavu wangu
Back
Top Bottom