Jamani mi sidhani kama Mtu anayetakiwa kuiendesha nchi ni lazima awe na madegree na mashahada juu, kwani kuongoza nchi ni swala la mtu kuelewa ukweli wa mambo mfano kujua matatizo ya jamii unaiyoiongoza.
Hivyo basi kusema Mbowe na Amina CV zao hazijashiba sidhani kama inaleta mantiki yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.