Recent content by swagy

  1. S

    JamiiForums Tanzania Je, wewe unajua vizazi vingapi kutoka kwa babu yako? Na ukoo wako umehifadhi vipi historia yake?

    Mimi namfahamu Babu kizaa baba na bibi pekee,sijui wengine
  2. S

    JamiiForums Tanzania Walimu Busega wachachamaa,wampa notisi ya siku 90 Maiko Kachoma (Mkurugenzi,Busega) wasema lazima Haki ipatikane

    Hatari sana,usipokuwa makini unaweza jikuta umejichukulia sheria mkono,huyo Kachoma aache kucheza na mishahara ya watu,akachezee mat **k ya mkewe
  3. S

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mchengerwa, sisi walimu wa Wilaya ya Busega tunaomba msaada wako juu ya Mkurugenzi wa Wilaya

    Unamwongelea Kachoma yupi,au huyu anayejinasibu kuwa alikuwa mfanyakazi wa ikulu,?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Chemba yapata Baraza la Ardhi na Nyumba tangu kuanzishwa kwake

    Safi sana,lakini Wizara ya Ardhi naomba mtoe msisitizo kwa wenyeviti wa mabaraza ya ardhi kusimamia kesi kwa muda ,mimi nina kesi baraza la ardhi wilaya ya geita mjini,huu ni mwaka wa 4. Na tokea mwaka jana mwezi wa 8 hadi mwaka huu mwezi wa sita tarehe 11 hatujawahi sikilizwa,ina tia hudhuni...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ewe mfugaji jipate mbegu za azola kwa bei ya shambani

    Karibuni wateja
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ewe mfugaji jipate mbegu za azola kwa bei ya shambani

    Uko mkoa gani mkuu !? Mzigo unakufikia chapu tu, elfu 10 tu, karibu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Ewe mfugaji jipate mbegu za azola kwa bei ya shambani

    Haiwezi kuoza mkuu, inavumilia sana, by the way naweza kuipaki kwenye ndoo ya lita kumi na kutia maji,
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ewe mfugaji jipate mbegu za azola kwa bei ya shambani

    Karibuni wafugaji
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ewe mfugaji jipate mbegu za azola kwa bei ya shambani

    Habari za leo wapendwa, baada ya kujuzwa faida ya mmea wa azola ulivyo na ufanisi na mkombozi kwa wafugaji, niliingia shambani kwa ajili ya kilimo na sasa mavuno yako tayari. Kwa yeyote anayehitaji mbeguza azola kuanzia kilo moja hadi gunia kadhaa nomba anitafute kwa simu Namba 0624924930.pia...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studies

    Mkuu bado na hii kozi ni ya ualimu, isipokuwa yenyewe inahusu uchumi tu , ila bado ni degree ya elimu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studies

    Nafundisha kiswahili na history
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studies

    Mimi tayari ni mwalimu, nataka kwenda ku upgrade tu
  13. S

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studies

    Wakuu kwema? Naomba mchango wenu juu ya kozi ya Bachelor Degree in Education with Accounting and Business Studiesambayo inatolewa na chuo cha Tanzania institute of accountancy. Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma, sasa mwaka huu napanga kwenda kujiendeleza kielimu, sasa kuna hii kozi je...
Back
Top Bottom