Recent content by Susuviri

  1. Susuviri

    Kabla Rais Magufuli hajazama jumla, ajiulize kwanza kwanini Kagame na Kikwete walikuwa na mgogoro?

    Wazazi wetu? Mkuu unaongea nini? Hapa tunamkosoa Mkuu wa nchi. Kama hataki aache Urais. Hakuna kiongozi asiyekosolewa. Ukiona ukosoaji umezidi basi ujue kweli unapotea na si kuanza kulalama eti usikosolewe. Rais Magufuli awe humble na asikilize ushauri na maoni kama kiongozi mzuri. Kama hataki...
  2. Susuviri

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    Martin Luther King Jr hakuwa mwanasiasa bali Mchungaji na alileta mabadiliko ya kihistoria Marekani. Yeye pia alionekana National Security Threat kwa serikali ya kibaguzi ya wakati huo leo ni shujaa mpaka ana siku yake maalum.
  3. Susuviri

    RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

    Tunaomba mtuwekee cctv footage ya tukio. Hapo inabidi huyo Makonda akamatwe na aeleze hiyo private militia yake yenye SMG ni akina nani na je wana permit gani? Tuache kucheka au kutetea mambo kama haya!
  4. Susuviri

    Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki

    Bila kujua hapo umetoa nyenzo kubwa. Good thinking
  5. Susuviri

    Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki

    Tupo ambao hatuna team na tutafurahi sana kuona Bashite anapigwa chini. Kwa haraka kati ya wakazi wa Dar es Salaam ni kama 80% hawamtaki 10% ni wapambe na wanufaika na 10% hawana opinion
  6. Susuviri

    Kama tulimpigania Maxence Melo akawa huru sasa tupambane kwa nguvu zetu Paul Makonda ang'olewe

    Itumike akili kuliko nguvu .. kelele ziende sambamba na action .. hatua ya kwanza nzuri ni ile tuliyosikia ya kumfungulia kesi mahakamani. Hata Mahakama ikitupilia mbali lakini kwa muda huo tunapiga kelele tuuu. Suala la Bashite si kuhusu yeye personally ila ni kuhusu: 1. Integrity ya taasisi...
  7. Susuviri

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam azindua barabara ya Shimo la udongo

    Tupo pamoja mkuu! Wengi tunamwunga mkono Rais Magufuli lakini katika hili hapana!
  8. Susuviri

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam azindua barabara ya Shimo la udongo

    Na ndiyo point muhimu - tusiruhusu team Makonda kuleta hoja zingine. Hapa hakuna team nini wala lile. Katumia FORGERY kupata vyeo na kazi achukuliwe hatua za kisheria. Mambo mengine ni blahblah. Huo uzinduzi mbona kavizia vile na hajiamini. Ka kilomita kamoja, msafara umepwaya na media...
  9. Susuviri

    TANZIA: Sir. George Kahama afariki dunia

    Hapana alipewa na Vatican. Hebu rudi ufanye utafiti!
  10. Susuviri

    Sophia Simba ataendelea kuwa mbunge kupitia mahakama. Ya Bashe na vitisho vya kuhoji

    Mkuu kwa sisi tusiokuwa na a stake in the party tunashangaa kwa nini wenye vyama vyao nje ya CCM wanaongea kwa jazba. Hili suala ni la CCM tena vikao vyao vya ndani. Ni kweli ina affect sisi sote maana ndo imeshika hatamu lakini kwa upande wa upinzani wajikite kutuletea sura mpya na za kuaminika...
  11. Susuviri

    Anaandika mtoto wa mwisho wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, Mamie Akh

    Mkuu kwani umesahau kaka yake Amani alikuwa rais pia katika hii miaka 20? (Siyo baba) Je Amani alilipa bili?
  12. Susuviri

    Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda

    Kamishna Sianga keshakabidhiwa vita hivi na tuna imani naye. Makonda hana kazi tena ktk vita hivi mkuu labda kujipendekeza tu! Atafute kiki kwingine na aanze kwa kuweka vyeti.
  13. Susuviri

    Kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kabisa kuwa Paul Makonda atajiuzulu au atatenguliwa!

    Acha kudanganya umma mbona Kamishna Sianga yupo? Waachie professionals wafanye lao! Huyo Paulo sijui Daudi alikuwa anaharibu ushahidi tu!
Back
Top Bottom