Recent content by Susana

  1. S

    72% ya Watanzania wanaridhishwa na utendaji kazi wa Rais Magufuli

    Mimi namkubali kabisa ila wanaomshika shati kumrudisha nyuma ni watendaji kazi wake.wakurugenzi wanapata propose nyingi za maana sana kuiendeleza nchi yetu lakini kwavile wanataka kujinufaisha wao binafsi hawachukui hatua yoyote,ingetolewa namba rais mwenyewe aone hizo propose au watu waweze...
  2. S

    Edo Kumwembe: Mpaka sasa CHADEMA wameshashinda hata wasipoandamana

    Hivi huo ukuta ni nini ,ni kwamba wala nchi wamewekewa ukuta wa kula nchi au ni utu wanafurahia wananchi wadogo kupigwa virungu.ni nini tabu haswa.jamani huyu mungu mwacheni aitwe mungu.munaomba kizuri mukipewa hamutaki tena munataka kibaya,yote haya ni maslahi ya watu wachache.
  3. S

    Mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani dhana yake inapotoshwa

    Jamani kwanza siwaelewi wanatakaa nini,tulikuwa tunadhani vyama vya upinzani vinatutakia wananchi mazuri,sasa tumewastukia kumbe na wao wanataka kutetea matumbo yao tu,nilithani sasa kungetulia kwavile rais wetu anafanya kile walichokuwa wanasema wataleta nchini ,sasa tunashindwa...
  4. S

    Mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani dhana yake inapotoshwa

    Jamani kwanza siwaelewi wanatakaa nini,tulikuwa tunadhani vyama vya upinzani vinatutakia wananchi mazuri,sasa tumewastukia kumbe na wao ni wanataka kutetea matumbo yao tu,nilithani sasa kungetulia kwavile rais wetu anafanya kile walichokuwa wanasema wataleta nchini ,sasa tunashindwa...
  5. S

    Tumpe Rais Magufuli miaka mingapi?

    Mimi nasema tumpe miaka hata fifty,50.mpaka awe mzee kama Mgabe.kweli kabisa.
  6. S

    Siasa za kihuni hazitajenga Tanzania

    Kero kero kero jamani,serekali, hawa watu wanaoitwa (MAJEMBE) je ni mahakama wameshindwa kazi wakawapa ruhusa au wamesomea wapi huwatesa wananchi,tunahamu ya kujua hiyo ni degree ya aina gani wamechukua.kweli tunaomba serekali ipige marufuku kabisa hawa wat,wawaachie mahakama wafanye hizo kazi...
  7. S

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Hao unaosema waliitumikia hii nchi na uzoefu ndio walioifikisha hii nchi mahali pabaya tulipo.wewe ni jipu linahitaji opperation kabisa.
  8. S

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Ukikuwa wapi kwenye utawala uliopita? Wanaoitakia wanaitakia hii nchi mambo mema sisi tunaona yuko kwenye the right track.majipu ndio roho juu.i wish wangekujua uchunguzwe na wewe nina wasiwasi sana na wewe.kumuombea tunamuombea usiku na mchana,mungu azidi kumpa afya njema,na akaze buti.
  9. S

    Neno la Uchochezi: Tunamfuata Kiongozi; Tumechoka Kutawaliwa Tu

    We yatakushinda kama umezibiwa njia zako na magufuli.
  10. S

    Ole Sendeka: Wanaomuita Magufuli dikteta na fashisti wanamtetea nani?

    Ole sendeka nakuunga mkono asilimia mia moja.hatutadanganyika na hao wanaofikiri watanzania ni wajinga hatujui mtu anaetukomboa.ningefurahi sana na kuwaona wanabusara wangesema hayo wakati wa utawala uliopita.tumeshafunguliwa macho,tumejua hata wapinzani lengo lao kubwa la kuingia madarakani ni...
  11. S

    Sukari sasa Tsh 6,000/- kwa kilo. Waziri Mkuu, zile tani ulizoagiza ziko wapi?

    Uji kwa malimao tutakunywa tuu.!!!!hatutakufa.
  12. S

    Sukari sasa Tsh 6,000/- kwa kilo. Waziri Mkuu, zile tani ulizoagiza ziko wapi?

    Jamani ee!! Wananchi tunalojua Rais anajaribu kututetea wanyonge,na tutashirikiana nae hata kama ni uji wa limao tutakunywa,wanaotaka kuuwa jitihada zake wajue raisi wetu yuko na wananchi walio wengi.hata Yesu alifanya mazuri lakini wapo waliomkana.ni sembuse mwanadamu!hii yote ni harakati ya...
  13. S

    Magufuli ameshusha mshahara wa Rais au ameshusha mshahara wa Magufuli kama Rais ?

    La maana Raisi wetu,hakuna kitu kikubwa kama kuirekebisha katiba yetu,mambo mengi waliyoipitisha yamekuwa ni kulinda maslahi ya watu wachache,sasa uipitie vizuri ufanye kazi ya kutumbua majipu yaliyoko huko,laa sivyo unakazana kwa nguvu zako zote kuijenga Tanzania yetu umejinyima mshahara kama...
  14. S

    Magufuli ameshusha mshahara wa Rais au ameshusha mshahara wa Magufuli kama Rais ?

    Yatakushinda,wala nchi utawajua tuu.wewe unalo la kujikweza?unajua maana ya kujikweza?
Back
Top Bottom