WATAALAM WETU WAKIENDELEA NA ZOEZI LA UPIMAJI UKO KIGAMBONI
Bado Lengo Letu Ni Kuhakikisha Maeneo Ambayo Hayajafikiwa Na Huduma Ya Upimaji Tunayafikia.
Contact;
Call/WhattsApp 0713778937
WAKALA WA HUDUMA ZA ARDHI
SURVEYOR ALOYCE CO. Ltd
TUPO KWA AJILI YA KUSAIDIA WANANCHI WENYE UHITAJI WA HUDUMA KWENYE SEKTA YA ARDHI
(Hii Ni Kutokana Na Watu Wengi Kutokua Na Muda/Uelewa Wa Mambo Ya Ardhi)
[emoji1485]Kufuatilia Upimaji Wa Ardhi
[emoji1485]Kufuatilia Manunuzi Ya Ardhi (Matumizi...
HATUA ILI UWEZE KUPIMIWA KIWANJA AU SHAMBA LAKO (Ili uweze kupata hati miliki)
[emoji637] Ukaguzi wa eneo lako husika ili kujua eneo lako limepangwa kwa ajili ya matumizi gani, Hapa atashirikishwa mpima ardhi kwa ajili ya kufanya utambuzi wa eneo husika kujua lipo kwa ajili ya matumizi gani...
Kwanini uendelee kumiliki ardhi ambayo haina Hati Miliki?
Kama bado unamiliki kiwanja au shamba na bado hujavipatia hati miliki, Huna sababu ya kufanya ivo, Surveyor Aloyce nipo kwa ajili yako kufanikisha zoezi ilo ndani ya muda mchache.
Ivo cha kufanya ni kuwasiliana na Surveyor Aloyce kwa...
NUNUA PLOT ZILIZOPIMWA DODOMA.
plot zipo
Nala, mbele ya mizani
Approximate ya 15km
From dodoma centre to singida road
4km from singida road to site
Nauza
5000 kwa sqm
Zipo kuanzia 500sqm
Bei kwa kuanzia 2,500,000/=
Zipo karibu na eneo la chuo cha IFM
Contact;
WhattsApp 0713778937
Call...
VITU NANE (8) MUHIMU VYA KUWA NAVYO ILI UWEZE KUPATA HATI MILIKI YA KIWANJA/SHAMBA LAKO
Surveyor Aloyce,
1. RAMANI YA UPIMAJI,
Eneo husika lazima liwe na ramani ya upimaji ambayo imeizinishwa na wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, iwe na mhuri na sahihi ya mkurugenzi wa ramani na...
HATUA ILI UWEZE KUPIMIWA KIWANJA AU SHAMBA LAKO (Ili uweze kupata hati miliki)
[emoji637] Ukaguzi wa eneo lako husika ili kujua eneo lako limepangwa kwa ajili ya matumizi gani, Hapa atashirikishwa mpima ardhi kwa ajili ya kufanya utambuzi wa eneo husika kujua lipo kwa ajili ya matumizi gani...
TUJADILI KIDOGO HAPA, CHANGAMOTO GANI HADI LEO ZIMEKUFANYA UKAWA HUNA HATI YA ENEO LAKO?
1. Gharama kubwa za upimaji na umiliki ardhi?
2. Umekosa mda wa kufuatilia zoezi zima la upimaji na umiliki ardhi?
3. Hujawai ona/hujui umuhimu wa kupima na kumiliki ardhi?
4. Umekwamisha na wataalam...
Eneo husika kama tayar limeshaandaliwa ramani ya mipango miji basi raman hiyo inaweza patikana na tukapata majibu ya hilo eneo kuwa limepangiwa matumiz gani..
Ahsante
OFA INAISHA MWEZI WA 8 HUU CHANGAMKIA
Hayo ni moja kati ya majibu tuliyoweza kuyapata kwa baadhi tu ya maeneo ambayo tumeweza kuyakagua baada ya OFA yetu..
Mstari MWEKUNDU ni eneo la mteja
Mstari BLUE ni ya mipango miji
Hivyo basi kama bado hujajua ardhi yako unayomiliki imepangiwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.