Recent content by Supu Choma

  1. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania Wana JF, Tutofautishe Kati ya Kusema Uongo na Kuteleza Ulimi, Rais wa TZ Hawezi Kusema Uongo, Labda Kuteleza tuu!

    Mayallela kajipange ufanye kazi zako binafsi au mpigie simu mkulu akupe appointment vinginevyo unaharibu taaluma ya uandishi
  2. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania Wana JF, Tutofautishe Kati ya Kusema Uongo na Kuteleza Ulimi, Rais wa TZ Hawezi Kusema Uongo, Labda Kuteleza tuu!

    Si kila unachoamini na mwenzio anakiamini
  3. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania Zitto: Tuliambiwa hostel za UDSM zimejengwa kwa bil 10 ila ripoti ya CAG inasema zimejengwa kwa bil 54. Uwongo! Uwongo!

    Ni 54bn Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  4. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania Zitto: Tuliambiwa hostel za UDSM zimejengwa kwa bil 10 ila ripoti ya CAG inasema zimejengwa kwa bil 54. Uwongo! Uwongo!

    Umenena Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  5. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania IRINGA: Mbunge Peter Msigwa akamatwa na Polisi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara

    Mahakama sio huru. Atawashinda kwasababu ya vigezo vya kumpeleka huko havipo. Polisi hawana sababu bali kumtisha. Mkulu alisema siasa zikafanyike majimboni kwa wabunge, kwani yeye alikuwa wapi? Mtasumbuka sana labda mpeleke bungeni muswada wa kufuta vyama nchi ibaki inaongozwa bila chama au...
  6. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania IRINGA: Mbunge Peter Msigwa akamatwa na Polisi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara

    Atakamatwa na kuachiwa maana akipelekwa mahakamani atawashinda tu
  7. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania IRINGA: Mbunge Peter Msigwa akamatwa na Polisi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara

    Siasa za kistaarabu ni kama za mkulu za kutumia ubabe? Hata hivyo watu watavumilia maana mkulu hakuwahi hata kuwa kiongozi yeyote kisiasa hata shina. Viongozi huandaliwa bali wanyapara huzaliwa.
  8. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania IRINGA: Mbunge Peter Msigwa akamatwa na Polisi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara

    Kwani wewe ni nani ktk serikali hii?
  9. Supu Choma

    JamiiForums Tanzania Nairobi Hospital: Hatujapokea fedha zozote kutoka Bunge la Tanzania

    Waneongeza kwenye za tetemeko Kagera na St Vicent Arusha. Kati ya CCM na CDM nani walaji wa michango ya wahanga wa majanga? Fikiri sana.
Back
Top Bottom