Recent content by supergon

  1. supergon

    JamiiForums Tanzania Nafaka

    Asante allina ntajitahid hivo... Asante sana kwa ushauri
  2. supergon

    JamiiForums Tanzania Nafaka

    Niko dar bt moro, mbeya, iringa huko pia napatikanika
  3. supergon

    JamiiForums Tanzania Nafaka

    Suala la usafir tunaweza ongea na contact ni 0719553454 & 0758908041 na suala la bei ni tofaut tofaut inategemeana na mzingo na aina ya nafaka
  4. supergon

    JamiiForums Tanzania Nafaka

    Hallow wana jf... Nmerud tena niko nauza nafaka zote yaan mchele, unga, maharage, mafuta ya alizeti na vingne vngi vyote vinapatikanika kwa bei ya jumla na rejareja. ..... Tena kwa bei nafuu kabisa
  5. supergon

    JamiiForums Tanzania Tarehe 19 Aprili Jumamosi, Mkutano MKUBWA wa UKAWA Zanzibar

    Siasa siyo hivyo ufikirio wa jiran cha msingi tafakar and then angalia nn maana ya rasimu.... Halafu angalia nchi na wanasiasa..... Na pia ishi kwa mifano iliyotokea juu ya undwaji wa katiba zao na muundo wa serikali zao na matokeo yake ni nn..... Mfano russia, somalia,
  6. supergon

    JamiiForums Tanzania Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Pls chasha ungeweka na bei ingekuwa Pouwah sana kwa sababu mtu anaweza toka mbali kuja. Huko ulipo halafu kumbe kaja na hela kidogo nje ya kiwango chako so ungerahicsha kwa kututajia baadhi ya gharama ....
  7. supergon

    JamiiForums Tanzania Mauzo ya nafaka hapa nchini

    Napenda tena kuwataarifu wa jf kuwa me ninauza mchele kwa bei ya jumla na rejareja na pia napokea order kwa mazao mbalimbali ndan na nje ya nchi popote ulipo kwa mawasiliano unaweza nitafuta kwa email masilikale@gmail.com
  8. supergon

    JamiiForums Tanzania Mazao yanauzwa kwa jumla na rejareja

    Mimi mjasiliamali na zaid nimewekeza katika kilimo cha mpunga na chai... Kwahyo natafuta soko la mchele pia napokea oda tofauti za mazao.... kwa jumla na rejareja....
Back
Top Bottom