Habari wanajamvi!
Utaratibu wa ulipaji serikalini wa fedha zote huanza na maombi ya fedha kwa jambo linalokusudiwa mfano manunuzi au posho na haya maombi ya fedha kwa namna nyingine huitwa dokezo.
Maombi yote huenda sambamba na vielelezo (viambata) vinavyohalalisha uwepo wa maombi hayo...
Hivi auoni aibu kusema uongo? Amepandishaje unaweza kufafanua? Tunaolima korosho tunafahamu namna bei zilivyo, bila shaka utakua na unfmdugu na shetani
Nawasalimu wanabodi.
Watanzania tunacho cha kujifunza kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka kutokana na aina ya watia nia ambao mpaka sasa wamejitokeza.
Bunge lililoisha muda wake naona wana mchango katika hili maana kimsingi ni bunge la ajabu na ovyo kupita mabunge yote niloyafahamu...
Na kukuweka sawa korosho haikuuzwa 4,100 kama ilivyotangazwa minada yote ya kwanza korosho ilinunuliwa kati ya 2,750 hadi 3,120 kwa kilo na bei ziliporomoka kadri minada ilivyokua inaendelea
Acha usumbufu kama ni mfuatiliaji auwezi kuniuliza hilo mimi na wakulima wenzangu tunayajua haya na bei ya soko la dunia iko wazi ni kutafuta tu mtandaoni
Nawasalimu ndugu zangu.
Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu ambao wenyewe utakua unafanyika kwa awamu ya saba (7) tangu chaguzi za vyama vingi zilipoanza.
Rais na wabunge wanaotoka mikoa ya kusini mwa Tanzania (Lindi na Mtwara) wana mengi ya kujieleza mbele ya wapiga kura, machache yafuatayo ni...
Hii shida sijui itaisha lini wilaya za Mtwara zote zina shida ya umeme na sasa hali ni mbaya zaidi kukaa zaidi ya saa 24 bila umeme imekua kawaida, mfano jana umeme umekatwa saa saa 12 jioni wakawasha usiku wa manane hadi saa 12 asubuhi, wamekuja kuwasha tena saa 11 leo tena dakika 5 hazijafika...
Nipo Newala Mjini wiki ya pili sasa hali ya umeme ni mbaya kupita kiasi.
Tangu nimefika na sasa shida imezidi wiki iliyopita umeme ulikua unawaka kati ya masaa 4-6 kwa siku.
Wiki hii Jumatatu umeme uliwaka masaa 6 kwa siku, Jumanne masaa 3 kwa siku, Jumatano umeme uliwaka chini ya saa 1 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.