Recent content by SUNGULULU

  1. SUNGULULU

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Kitabu cha kwanza ni INTERNATIONAL MEAT CRISIS. Cha pili ni THE VATICAN AGAINST EUROPE. Cha tatu ni THE BLACK POPE. Cha nne ni THE SECRET TERRORISTS na cha tano ni KING JAMES BIBLE VERSION, SIYO NEW VERSION.
  2. SUNGULULU

    Dunia

    MADHARA YA NYAMA DUNIANI Nyama unayokula huchafua/haribu na kudhuru kwa kiwango cha juu ambacho hakikufahamika katika historia ya mwanadamu. Katika mwaka 1906, Upton Sinclair aliandika: Hii si hadithi ya uongo/danganya toto au jambo la mzaha, nyama inayopakuliwa/tengwa kwa ajili ya chakula...
Back
Top Bottom