Eti wanasema hawayatambui matokeo na uchaguzi urudiwe Zanzibar...
Walishasahau miaka ile... wacha mje Kwenye baraza la.wawakilishi mfanye mgomo...
Tukutanr barazani...
Tume fanyeni.wajibu wenu haraka mda unazidi kuyoyoma na Njama za hujuma zinazidi kuandaliwa.na wafamaji...
CDM walikosea mahesabu wakati mbaya sana, hawakuliangalia hili, hawakuangalia uzito wa Zitto katika kipindi kile na kwamba uchaguzi unafata mbeleni... sasa athari zake ndo hizi na wataendelea kumlaumu ilhali lawama.wanapaswa wajilaumu CDM wenyewe...
Tunapaswa kupiga hesabu za hapa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.