Recent content by SUMUYANGE

  1. SUMUYANGE

    Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo

    Huu ni utani wa kiwango cha PhD. Mwanzo walisema hawako tayari leo wako tayari. Watuoneshe na barua ya familia ya ndugai ikiomba serikali kumpeleka India wacha tutapeliwe hatutaki msaada wa kinafiki.
  2. SUMUYANGE

    Umoja wa Ulaya walaani vikali tukio la Mbunge Tundu Lissu kupigwa risasi jana

    Nawashangaa wenzetu wa ccm wanashangilia. Ila jueni kuwa wakitumaliza sisi wapinzani watahamia kwenu. Mla nyama ya binadamu hatoacha kamwe. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. SUMUYANGE

    Mbowe: Hali ya Lissu ni mbaya na yupo kwenye chumba cha upasuaji

    Habari, Mh Tundu Lisu aliwasili usiku majira ya saa Saba hapa Nairobi Jomo Kenyatta International Airport na alipokelewa na team ya Madaktari wa Nairobi hospital pale airport na matibabu yalianza Mara moja kuanzia ndani ya Ambulance hadi hospital. Aidha alipofika Nairobi hospital alifanyiwa...
  4. SUMUYANGE

    Lowassa mzalendo wa kweli

    Lowasa ndiye mtu aliyeimbwa sana kuwa ni Fisadi ndani ya nchi hii. Alishambuliwa Sana,, akadhalilishwa, akaonewa Sana kutokana na hila za kisiasa, mpaka ikafika sehemu watu wakasema ile mahakama hewa ya mafisadi imeanzishwa kwa ajili yake. Lakini cha ajabu hizi report zote zilizosomwa tangu...
  5. SUMUYANGE

    LOSS: Adv Juma Reginald Sawaya Mawalla the first Tanganyika Barrister is DEAD

    R. I. P Sent using Jamii Forums mobile app
  6. SUMUYANGE

    RIP Mwangosi, tutakukumbuka daima

    Kumbukumbu Mbaya. Leo imetimia miaka mitano tangu pale polisi walipofanya mauaji ya kutisha maeneo ya Nyololo Iringa 2012, walimuua mwandishi wa habari kwenye mkutano wa CHADEMA kipindi cha oparation/vuguvugu la mabadiliko M4C kwa kumlipua kwa bomu na mwili wake kusambaratika vibaya. Ni ndugu...
  7. SUMUYANGE

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, azuia bomoabomoa bonde la Makamba Tuangoma, asema ameagizwa na Rais Magufuli

    Kama ulikuwa hujui>>Kuna trick moja inaitwa "Divert/distract people's attention" ambayo inatumiwa sana na wanasiasa na watu maarufu duniani kwa manufaa yao. Kuna nchi nyingine unakuta vyama vina kitengo maalum ambacho kazi yake ni ku divert attention ya watu pale inapobidi. Na wakati mwingine...
  8. SUMUYANGE

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kama ulikuwa hujui>>Kuna trick moja inaitwa "Divert/distract people's attention" ambayo inatumiwa sana na wanasiasa na watu maarufu duniani kwa manufaa yao. Kuna nchi nyingine unakuta vyama vina kitengo maalum ambacho kazi yake ni ku divert attention ya watu pale inapobidi. Na wakati mwingine...
  9. SUMUYANGE

    Roho wa Mungu yuko pamoja na Lowassa

    Mungu aendelee kumtunza. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. SUMUYANGE

    Yusuf Manji anapotosha kuhusu Wakili Kibatala?

    *MANJI ANAPOTOSHA?* Ni jambo la kuajabisha kusikia eti Manji kamkataa Wakili Peter Kibatala. Kuweka kumbukizi sawa, ifahamike Manji mwanzoni hakuwa na kibatala katika kesi yake ya madawa ya kulevya na Hata ya Uhujumu Uchumi ilivyoanza. Imani yangu kama Kibatala angekua toka mwanzo labda hata...
  11. SUMUYANGE

    Wanasiasa wa CCM fanyeni utafiti kabla ya kuongea

    WANASIASA WA CCM FANYENI UTAFITI KABLA YA KUONGEA. Wakati wa uzinduzi wa bomba la mafuta huko Tanga, watanzania wamedanganywa na kuaminishwa kuwa bomba linalojengwa Tanga lenye urefu wa km 1445 ni refu kuliko yote duniani...!! Mbaya zaidi hata magazeti nayo yameandika hivyo hivyo bila hata...
  12. SUMUYANGE

    Hoyce Temu: Kuna faili zaidi ya 17 kwa DPP zinazomhusu Mange Kimambi

    Acha zako. Tunajua njama zako za kumshambulia Mange kimambi, najua unatafta huruma za watz ila ukweli wewe mwenyewe ni mchokozi. Huyo dpp mwenye mafile 17,atumie Interpol kumkamata kama wana ubavu. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. SUMUYANGE

    Mmoja kati ya madiwani waliohamia CCM huko Hai, amejikuta katika hali ya sintofahamu

    Mmoja kati ya madiwani watatu waliohamia CCM kutoka CHADEMA katika halmashauri ya wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro amejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya fedha aliyolipwa kuhamishwa katika akaunti yake. Inaelezwa kuwa diwani huyo aliwekewa malipo ya awali (advance payment) ya shilingi...
  14. SUMUYANGE

    Prof. Maghembe apokea mabilionea wa dunia Serengeti

    Mmmmh.Tz ya v-Wonder. Waziri anaacha kushughulikia issue sensitive za wizara kama vile migogoro baina ya wananchi na hifadhi anakwenda kuwapokea watalii?? This happening only in Tanzania. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. SUMUYANGE

    Prof. Maghembe apokea mabilionea wa dunia Serengeti

    Mmmmmh. Ndio kazi za waziri now days?? Anaacha kushughulikia migogoro baina ya wananchi na hifadhi zetu anakwenda kupokea watalii?? Hii ndio nchi ya v-Wonder. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom