Recent content by sumbwasumbwa

  1. S

    Rafiki wa mume wangu ni kikwazo cha ndoa yetu

    hapo lazima kuwe na tatizo baina yako na huyo rafiki wa mume wako...mara nyingi wanawake wa siku hizi huwa mnamtindo wa kuwachagulia rafiki waume zenu, mara utasikia mimi yule rafki yako simpendi, mara sitaki rafki yule aje nyumbani..mara ooh mara vile,,,kwahiyo kwa mantiki hiyo inawezekana hapo...
  2. S

    Mtoto kufanana na baba au mama, nini kinasababisha?

    @ TONGONI- Safi sana, dah tukiwa na watu kama nyinyi katika jamii mnahusika mno, yani unaona kabisa mtu yuko serios sio wengine kila kitu wanaleta mzaha hahahahhahah
  3. S

    Mtoto kufanana na baba au mama, nini kinasababisha?

    hii kali, yani ukipiga kichovu sura inamfwata mama hahahhahahhahha
  4. S

    Mtoto kufanana na baba au mama, nini kinasababisha?

    Waungwana nini kinasababisha mtoto kufanana na mzazi mmoja wapo either mama au baba?
  5. S

    Hivi inawezekana msichana ukasafiri kumfata mwanaume usiemjua hujawahi kumuona live? Online dating..

    Angalia sana ukimwi aseeeeee....watu wengi wanaotumia pesa nyingi sio watu salama
  6. S

    Inawezekana kubadilisha jina la baba kwenye cheti cha kuzaliwa?

    Jamani hivi inawezekana kubadilisha jina la baba lililoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.
  7. S

    DNA inaniambia mtoto wa kiarabu ni wangu wakati wazazi wote ni waswahili

    Mswati mtafute Advocate yoyote akuandikie barua unaenda nayo pale ocean road nyuma kuna ofisi za mkemia mkuu anakupa account namba unaenda kulipia NBC kila sample in Tsh 100,000/= kwahiyo kama watoto wawili na wewe ni laki tatu then unakuja na risiti wanakupima unasubiri majibu kama mwezi hv
  8. S

    Ushauri:Hizi ndo moja ya sababu ya watoto wa nje na criminal abortion (watoto wengine belongs to ma

    dah kwakweli ushauri mzuri ni akatoe tu hiyo mimba then aanze kujipanga tena maana nahisi majanga hapo....uwezi sema mwanaume wa kwanza ndio mimba yake,,,kuna factor nyingi zinatakiwa ziangaliwe kwa case yake yani piga ua aaply miscarriage tu hapo
  9. S

    DNA inaniambia mtoto wa kiarabu ni wangu wakati wazazi wote ni waswahili

    BASIASI-nimekuelewa mkuu ni kweli hali ni mbaya dahhhhhh yani nguvu sina hapa hii ndio bongo bwana
  10. S

    DNA inaniambia mtoto wa kiarabu ni wangu wakati wazazi wote ni waswahili

    kaka wewe kweli mwisho duh....ulizia watu wakujuze ofisi za mkemia mkuu ziko wapi? ziko pale hospital ya ocean road na taratibu ni lazma uende na uthibitisho wowote tu kama mimi nilichukua barua ya advocate nikaenda lipia pesa kwa kila sample ni laki moja....sasa inanisaidia nini kudanganya hapa...
  11. S

    DNA inaniambia mtoto wa kiarabu ni wangu wakati wazazi wote ni waswahili

    nilimpeleka Ocean Road Hospital kitengo cha DNA, na majibu yalitolewa na mkemia mkuu, utaratibu ni kuingiza kifaa kwenye mdomo na kutoa kama uchafu uchafu wa ndani pembeni ya fizi mwisho na ikakaa kama mwezi kupata majibu. @ Kabindi
Back
Top Bottom