Recent content by Sumbaye

  1. Sumbaye

    Iran na Israel zinapigana bila kujali wala kuheshimu Ramadhani na Kwaresma. Mwafrika uliyeletewa dini, unafunga na kushinda njaa

    Vita vya badir, conquest of makkah, ain Jalut, Guadalete, nk vilipiganwa mwezi wa ramadhani. Soma acha ujinga.
  2. Sumbaye

    G Z tafadhali sana harakati sio uharibifu, kama ni Siasa wajikite humo waachane na masuala ya Mali za Wananchi, kwani yatawasababishia kesi ya wizi

    Nakubali harakati sio uharibifu, Je siasa ni utekaji? Kwa nini watawala wameachana na siasa za hoja na ushawishi wanakimbilia kuteka watu?
  3. Sumbaye

    Wanaharakati wakubwa wa haki walikuwa mitume, neno wanaharakati lisitumike vibaya

    Nimeona maoni watu wengi juu ya neno mwanaharakati na matumizi yake. Neno mwanaharakati linatumika kujenga taaswira mbaya juu ya jitihada wapigania haki za watu. Mwanaharakati ni mtu anaetetea aina flani ya mtizamo na kupinga kila kilicho kinyume chake. Kwa Maana hiyo mtu yeyote mwenye...
  4. Sumbaye

    GE2025 Wanaopinga uteuzi wa Samia wataje wagombea wao ili tumpime

    Watu wanapinga mchakato. Hata akipitishwa Samia huyo huyo lakini utaratibu ufuatwe. Hatujadili wagombea, tunajadili mchakato ndio uliokiukwa.
  5. Sumbaye

    Taifa linalodharau elimu ya juu haliwezi kupata maendeleo.

    Amenihitimu bila kujua thamani ya elimu yake, Vile vile hajui tatizo liko wapi. Hawezi kuwa na uelewa wa utatuzi wake.
  6. Sumbaye

    Taifa linalodharau elimu ya juu haliwezi kupata maendeleo.

    Hii ni kwa nchi ambazo elimu yake haina relevancy. Nchi ambazo elimu yake inathamini, cheti na maarifa aliyonayo mhitimu vinaendana.
  7. Sumbaye

    Taifa linalodharau elimu ya juu haliwezi kupata maendeleo.

    Ni wapuuzi sana. China ili uwe mwanachama wa Chinese Communist party (CCP) ni lazima ukane dini zote. Kwa sababu wanajua dini ni vipumbazo na visingikiti kwenye maendeleo
  8. Sumbaye

    Taifa linalodharau elimu ya juu haliwezi kupata maendeleo.

    Kwa miaka ya karibuni zimesikika kauli mbali mbali kutoka kwa viongozi wa serikali juu ya wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania kwamba elimu yetu ni ya kukariri, elimu yetu inazalisha graduates wasioendana na soko la ajira, na baadae tukasikia wahitimu wajiajiri. Bado haikutosha, tukasikia hivi...
  9. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Mbowe ndio ametumwa na CCM kwa sababu ndio maana walikuwa wanampigia kampeni. Hilo halina Shaka ndani yake
  10. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Haihitaji hadubini kujua G55 Mbowe na CCM wapo nyuma yao
  11. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Hata Mungu anasema kabla ya kuwaadhibu lazima awatumie mtume kwa ajili ya kuwabainishia neno lake na kuwaonya. Hapa tunabainisha uhuni wake. Wakati sahihi ukifika atashughulikiwa. Kazi ya kubainisha uhuni wake inaendelea.
  12. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Legacy ya Mbowe imeingia doa pale alipokubali kununulika. Wanachama wakaamua ili kuilinda legacy yake wakampumzisha. Bahati mbaya hajaelewa, bado anaendelea na mradi wake na CCM kupitia G55.
  13. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Yule anashiriki tu kwa sababu ya nafasi aliyonayo na kuogopa hofu ya wanachama akionekana yupo kinyume watamshughulikia kama walivyofanya kwa Asenga. Yule ni kijana mtiifu wa Mbowe. Tumeona jumbe zake zilizovuja kwenye magroup yao.
  14. Sumbaye

    Kuhusu sakata la G55 CHADEMA, Mbowe anahusika kwa asilimia 100

    Mwambieni mzee wetu aache kuhujumu chama. Kwa mambo yanayofanywa na wafuasi wake ni kamwe hawezi kuondolewa kweli hili. Yupo nyuma yao.
Back
Top Bottom