Recent content by sumbaboyi

  1. S

    Dawa ya kukupa hamu ya mapenzi kwa mwanamke

    Kula vitunguu saumu na asali angalau mara mbili kwa siku.
  2. S

    Software za dongle receiver

    Tupe mawasiliano yako.
  3. S

    Software za dongle receiver

    Nahitaji tuwasiliane kwa email hii sumbaboyi@yahoo.com au nipe mawasiliano yako
  4. S

    Decoder hawk HD 3G 1080p

    Server haijarudi ndugu yangu fanya mipango mingine ligi karibu itaanza wiki ijayo.
  5. S

    Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?

    Nilikuwa na tatizo kama lako karibu miaka 10 iliyopita nikatumia asali na mdalasini kila asubuhi na jioni. Kijiko kidogo kimoja cha asali changanya na robo kijiko mdalasini au utakavyoona mchanganyiko mzuri kwako. Tumia mwezi mmoja au zaidi. Asali ina sifa ya kuogeza kinga mwilini yaani uwezo wa...
  6. S

    African Satellite World and Sat Gear

    Kungu why Kenyans only? Where is the spirit of East Africa ?
  7. S

    Avatar 2 dongle vipi?

    Kununua Dongle kwa sasa ni pata potea maana wenyezao wana badilisha software kila wakati hivyo kufanya server za rafiki zetu wachico kushindwa kuhimili.
  8. S

    Decoder hawk HD 3G 1080p

    Hilo ndiyo jibu sahihi. Ni kawaida kwa dongle za Hawk kuwa hewani kwa muda fulani halafu kupotea na kurudi tena baadaye. Wakati mwingine inakubidi hata software. Kwa wale wanunuzi wapya walijue hilo. Ununuzi wa Dongle kwa sasa ni pata potea.
  9. S

    Decoder hawk HD 3G 1080p

    Hawk 3G HD sawa hivi ipo down si uungwana kuuza kitu ambacho hakifanyi kazi inavyotakiwa
Back
Top Bottom