Hello guys, kati ya nchi ambazo natamni kwenda ni rwanda kiukweli moyo wangu unaniambia ntafanikiwa nikiwa kule mwenyeji anipe basi maelekezo nianzie wapi mi nikifika huko kazi yoyte ntapiga mhimu iwe legally ata viabarua2
Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.