Recent content by sulphadoxine

  1. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Nimesikia hiyo taarifa kwenye taarifa ya habari ITV.
  2. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Pumzika kwa amani kamanda,tutakukumbuka sana.
  3. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Msaada wa learning material ya CPA

    Wewe unatakiwa kuomba mwenye material akusaidie,nasiyo kusema nbaa imepanda imeshuka.
  4. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Dk.Nderakindo Kessy

    Huku tunakoelekea sasa hivi inatakiwa kuwa makini sana, na hasa kwenye siasa naona wengi wanajitokeza kutaka kugombea uongozi,lazimwa wapimwe akili,maana kwa sasa kila mtu anataka kuwa Rais wa nchi.
  5. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Dk.Nderakindo Kessy

    Kama kuna mdau hapa au memba wa jf ambaye yupo hospitali ya Taifa ya muhimbili atupe hizo information kuhusu huyu mtu kama ni kweli anahudhuria kliniki au nafile maeneo hayo,ili ukweli ujulikane.
  6. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Watanzania lazima tuthamini watu wetu,wanapokosea tunawarekwbisha,na sio kuwaponda na kuthamini watu wa nje.
  7. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Tatizo letu kila kitu kinachosemwa tunaamini,bila kukaa na kuchuja kama ni kweli au hapana.
  8. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Tatizo la member wengi hapa wanaongea tu ukiwaambia toeni ushahidi wanakula kona,mara hoooo mihadarati,pombe n.k
  9. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Unaweza kudhibitisha?acheni kujazwa ujinga na wachache wenye maslahi binafsi.
  10. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Mhusika amekataa hayo yote,na anasema siyo kweli,sasa kama wewe ulikuwa naye kwenye ndege basi utakuwa unaujua ukweli,maana yeye amekanusha.
  11. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Matatizo mengi yapi?yataje!
  12. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    These allegations are only designed to blackmail me. Huwezi kufanya fujo kwenye ndege, uvunje chupa, ufungwe pingu then wakuachie #SMH
  13. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Hizo tuhuma amesema sio za kweli,bali ni zengwe tu.
  14. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    High v,nimerekebisha kitambo sana.
  15. sulphadoxine

    JamiiForums Tanzania Sakata la Shyrose Bhanji na agenda ya Wanyarwanda kumng'oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Na huo ndio ukweli ambao watanzania inatakiwa kuusimamia kwa asilimia zote.
Back
Top Bottom