Recent content by Sully tz

  1. S

    SoC02 Mimi ni Meya wa Jiji

    Kulipanga jiji mpaka liwe vizuri kama California itachukua muda mrefu lakini naamini inawezekana kabisa kama tukipata viongozi wawajibikaji.
  2. S

    SoC02 Uchumi wa Gesi Asilia Umnufaishe kila Mwananchi

    Hili ni wazo zuri sana kama serikali italifatisha, itaweza kuongeza kipato cha nchi kwa kasi ya 5G na pia itasaidia kuwanufaisha na raia wa kawaida kwani akifunga mfumo wa gesi utampunguzia gharama tofauti na anapotumia petrol. Kazi nzuri kiongozi, nmekupa kura yangu.
  3. S

    SoC02 Tunaweza kufanya Mapinduzi ya Kilimo Tanzania kwa kulima wakati wa Kiangazi

    Kilimo cha umwagiliaji kitatusaidia kuweza kukifanya kuwa uti wa mgongo katika nchi yetu, na sii kiua mgongo.
  4. S

    SoC02 Tukuze Uchumi wa kila Mtanzania kwa kuboresha Huduma za Afya

    Ni kweli kuna watu ambao wanaweza kutoa huduma ya afya vizuri tu kama wakipewa darasa kidogo kuhusiana na magonjwa kadhaa.
  5. S

    SoC02 Tanzania haipaswi kuendelea kuitwa nchi Maskini

    Ni kweli tuna rasilimali za kutosha na tunaweza kujinasua na umaskini kama tukizitumia ipasavyo
  6. S

    SoC02 Watoto wa Mitaani ni Janga la Kitaifa

    Tatizo hili la watoto wa mitaani, sote kwa pamoja tukishirikiana na serikali tunaweza kulipunguza kwa kiasi kikubwa.
  7. S

    SoC02 Elimu ya sasa haimkomboi kijana wa Kitanzania

    Umenena mkuu, serikali itazame upya mtaala wake.
Back
Top Bottom