Hapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,
Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu...
Watanzania wakizungumza kwa pamoja kuchoshwa na mfumo wa kujuana na kubebana wamempongeza Dr.John Pombe Magufuli kua Mgombea Uraisi asye na makund tangu mchakato wa kuteuliwa na chama chake mpaka sasa anapogombea uraisi wa tz kwa ticket ya ccm
wameyasema hayo kupitia umoja wao usiyojali...
Hatimae vijana wa M4PI mjini TANGA WAAFIKIANA KUMTANGAZA NA KUMNADI MAGUFULI KUA KIONGOZI MWENYE SIFA ZA KIPEKEE UKIMLINGANISHA NA WAGOMBEA WOTE WANAOSIMAMISHWA DHID YA MAGUFULI KUGOMBEA NAFASI HIYO
SABABU ZILIZO MPA MAGUFULI NAFASI YA KUUNGWA KUUNGWA MKONO NA M4PI TANGA...
Kwa sasa watanzania wanayumbishwa sana na vyombo vya habari na siasa za mtandaoni ila wakazi wa Tanga tunazo sababu za kuungna kwa pamoja na kumpigia kura za ndio Dr.John Pombe Magufuli na sababu hizo ni hizi hapa
1.Mchapakazi na muadilifu
2.Mwenye ahadi za kweli na zinazotekelezeka
3.Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.