Hivi humu kuna mwana udom ambae anaenda soma Bch of scienc in phy? Nataka nijue kwa anaefaham hii coz mwisho wake unaweza ajiriwa wap? Alaf kweny barua wamesema colleg yang ni ya natural and math science unapanda magar gan?
kasigazi kalungi,
Hiyo kitu ya kuhama chuo na mkopo ni balaa asikwambie mtu, kuna dogo wa shngaz alitaka kufanya hivyo nikamzuia.
Chuon kwetu kuna madogo waliamia pale yaan waliowaishiwa walipata baada ya miez sita na wengine walipata kweny batch ya mwisho kama kuna mtu anabishi ani pm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.